MKALIKENYA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,196
- 486
Chintu, usichanganye mambo. Msimamo na fikira ni vitu viwili tofauti kabisa. Kama chama tunapaswa kuwa na msimamo mmoja katika mambo ya msingi, lakini hatupaswi kufanana kifikra. Narudia tena, ni ujinga wa kutisha kutaka Watu wafanane kifikra kwa sababu ni kujaribu kywafanya wasiwe binadamu!
M4C ni jambo la msingi na ni dira ya kukijenga chama nadhani unatakiwa umshauri ZITTO aungane na wenzie kujenga chama sababu kama kufikiri tofauti ni kuacha kukitumika chama na kwenda kuzunguka na SPIKA na kufanya mikutano ya mara kwa mara na KIKWETE basi ni bora afikiri kitofauti kwa niaba ya familia yake si CHADEMA.