Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,629
- 33,499
- Thread starter
- #21
Rebecca, uhuru wa tume ambayo hata yule ambaye amepata kura 10 dhidi ya mwenye kura 1000 akitangazwa mshindi ni sawa tu kwa sababu hakuna mamlaka yoyote ya kuhoji maamuzi hayo unatoka wapi? Je kwako hili huoni kama ni tatizo kwa mfumo huu wa vyama vingi na ukizingatia kuwa mwenyekiti wa chama tawala ambaye naye ni sehemu ya wagombea ni bosi wake?
usiku mwema mkuu,