which one is the way foward???

which one is the way foward???

Rebecca, uhuru wa tume ambayo hata yule ambaye amepata kura 10 dhidi ya mwenye kura 1000 akitangazwa mshindi ni sawa tu kwa sababu hakuna mamlaka yoyote ya kuhoji maamuzi hayo unatoka wapi? Je kwako hili huoni kama ni tatizo kwa mfumo huu wa vyama vingi na ukizingatia kuwa mwenyekiti wa chama tawala ambaye naye ni sehemu ya wagombea ni bosi wake?

usiku mwema mkuu,
 
Mkuu jifunze kuwa flexible,hapa ushabiki wana JF watasema nani mshabiki kati yangu mimi na wewe....😀😛,ukweli sikumbuki lini ,nadhani vyama vingi vilianzishwa mwaka 1991 au 1992,sasa miaka yote hio,ni tume isiyo huru,sijui police ndio sababu mmeshindwa kuwa kidedea????miaka yote hii Barack? mkishauriwa mkae chini mfikirie mbinu Zaidi za kupambana mnakua wakali na ku play victim card,mnnhh
Kulalamika muda mrefu haiondoi uhalali na uzito wa hoja za wapinzani dhidi ya Tume, Polisi na Mahakama kufanyia rafu upinzani.
 
hahahahaahhahah unapenda kuimagine eeh,nimekuvulia kofia mkuu,eti becky mwenyekiti wa chama,! labda cha kuku na bata,hahahahaha
Teh teh teh, jiamini mama elimu mnayopata darasani ndio hiyo hiyo tunaipata wanaume, huyo hapo mama Anna Mghwira kajipindua mwenyewe tu pengine chama chao kingekuja kupata nguvu huko mbele ya safari na kuja kuwa kiongozi mkubwa tu wa chama chenye nguvu ya ushawishi kwa umma.
 
Vyama vya upinzani vilivyopo vinatosha sana, hakuna uhitaji wa utitiri zaidi wa vyama, tatizo lililopo ni ccm kutotaka demokrasia kuchukua mkondo wake

mkuu kama tatizo ni demokrasia kutoka serikali ya CCM,why bother kuwa na chama cha upinzani at all,???ilhali wakijua hakuna watakalofanya litalobadilisha ushindi wa CCM?

for more than 25 years,je tatizo ni hilo hilo la kukosekana kwa demokrasia au kuna mengine,

kama wameweza ku identify moja ya sababu ya kukosa ushindi ni kukosekana kwa demokresia,then what do they do about it?
 
Back
Top Bottom