Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,629
- 33,499
Hello JF,
Nimewaza nikaona labda kuundwe chama kipya cha upinzani,
New party,new faces,
Waangalie sehemu ambapo upinzani ilifanya vizuri,chaguzi zilizopita.
Then watumie the same strategies kushawishi sehemu nyingine.
I just don't think kuhama chama na kuhamia CCM,kuta affect upinzani in general
mpaka 2020,there is still time,kuanzisha chama kikakua na kikapambana vizuri tu na CCM
Akina Nyalandu,Lowasa,etc,wange sit back na kuacha new faces zi -emerge.
Kisha baadae ,wajiunge tena na hiki chama kipya,
Their knowledge/skills/experiences bado zinahitajika katika Upinzani,😛
what do you think?
Nimewaza nikaona labda kuundwe chama kipya cha upinzani,
New party,new faces,
Waangalie sehemu ambapo upinzani ilifanya vizuri,chaguzi zilizopita.
Then watumie the same strategies kushawishi sehemu nyingine.
I just don't think kuhama chama na kuhamia CCM,kuta affect upinzani in general
mpaka 2020,there is still time,kuanzisha chama kikakua na kikapambana vizuri tu na CCM
Akina Nyalandu,Lowasa,etc,wange sit back na kuacha new faces zi -emerge.
Kisha baadae ,wajiunge tena na hiki chama kipya,
Their knowledge/skills/experiences bado zinahitajika katika Upinzani,😛
what do you think?