best in what?migomo ?totoz? etc
ifm.........hapo kwenye red ni kipi ..? Hahaha
Ni swali zuri sana.
Je, wewe unapenda kusomea mambo gani? Huu ni msingi wako. Sasa fuata ushauri hapo chini.
Nakushauri kwakuwa upo njema na mtandao; tafuta miongozo ya vyuo mbalimbali angalia kozi unazozipenda na lete hapa kozi nne unazozipenda tutakushauri uzuri na ubaya wake, pia nafasi ya wewe kupata udahili kulingana na pointi zako. Na baada ya kumaliza masomo yako utakuwa na nafasi gani ya kupata ajira au kujiajiri au kujiendeleza.