Mushobozi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2007
- 543
- 103
i think this question goes beyond its intent. kwa uchangiaji, utaona vijana wa vyuo vyetu wanavyohaibisha vyuo na labda muuliza swali atajua ni chuo gani aende. chukua waliochangia kwa kila chuo kimtazamo na kihoja, hapo utajua ni chuo gani kilichobest Tanzania. sio kwa grade za mitandaoni, wala majengo wala uwingi bali uelewa wa hao wachangiaji utakupa jibu. pole mdogo wangu. wengine wanachangia utadhani hawakuelewa thread, na hivyo kureflect chuo kinavyowaandaa..