Ndugu hiyo vietell imekaaje weka specification zake kina mkwawa waidafavue plzVIETEL(HALOTEL) H8501
kuna jamaa aliniletea niiset upNdugu hiyo vietell imekaaje weka specification zake kina mkwawa waidafavue plz
Manake ndo kwanza nimeiona Leo kiukweli ilinistua kidogokuna jamaa aliniletea niiset up
-8gb internal free kama 4gb
-cortex a7 1.3ghz quadcore mediatek ndio cpu yake
-1gb ram
-kioo around 4.5 inch 480x800
bei around 190,000 hadi 210,000 itategemea utaikuta vipi na promoshen ipi.
ila kwangu mimi still simu za sd 410 ni nzuri kwa price range hio hasa huawei y550 ambayo inapatikana kwa bei hizo
Nadhani specification zilisha onyeshwa hapo ila pia inatunza chaji ni balaa nimeinstall many apps napia natumia internet bila kufel inasupport format za aina nyingi bila hata kutumia vlc mrdia playerManake ndo kwanza nimeiona Leo kiukweli ilinistua kidogo
Iko poa tayari specification zake zimeelezwa ila pia unaweza kuiflash ili utumie laini tofauti na halotelIyo kitu imekaaje
Mkuu nimenunua Lumia 630 kwa 170k vp unaionaje?kuna jamaa aliniletea niiset up
-8gb internal free kama 4gb
-cortex a7 1.3ghz quadcore mediatek ndio cpu yake
-1gb ram
-kioo around 4.5 inch 480x800
bei around 190,000 hadi 210,000 itategemea utaikuta vipi na promoshen ipi.
ila kwangu mimi still simu za sd 410 ni nzuri kwa price range hio hasa huawei y550 ambayo inapatikana kwa bei hizo
sio mbaya kama unaweza kuishi na limitation zake. ram 512mb japo kwenye wp sio big issue, pamoja na. uzuri wa hii simu ina miracast ukipata right tv uta enjoyMkuu nimenunua Lumia 630 kwa 170k vp unaionaje?
Thanks Mkuu, ni limitation zipi hizo kama sitapata windows 10 kwangu haina ishu maana kikubwa kwangu ni SECURITY hivyo nitabaki hapa hapa 8.1,maana nasikia kwenye win 10 security wamepunguzasio mbaya kama unaweza kuishi na limitation zake. ram 512mb japo kwenye wp sio big issue, pamoja na. uzuri wa hii simu ina miracast ukipata right tv uta enjoy
Thanks Mkuu, ni limitation zipi hizo kama sitapata windows 10 kwangu haina ishu maana kikubwa kwangu ni SECURITY hivyo nitabaki hapa hapa 8.1,maana nasikia kwenye win 10 security wamepunguza
3.Haina Sensor ukipiga simu na kuiweka sikioni kioo hakizimi mpaka nibonyeze power botton,lakini siyo ishu kwangu1. camera ya mbele
2. ram 512mb
hizi ndio limitation kubwa ya hio simu sema sio big issue sana kama hupigi hizo video call na kucheza games kubwa.
hio win 10 mpaka sasa haijajulikana itakuwa vipi maana naona kama jitihada za mwanzo zilishindikana.
mwanzo waliitengeneza iwe rahisi kuport apps za android na ios kwenye wp lakini code za android wakaja kuziondoa baadae.
sasa hivi wanaport apps za ios tu kuja wp hivyo huwenda still ikawa secure.
subiria itoke na usome feedback za watu then utapata mwanga wa kitu cha kufanya
inayo sensor inaitwa sensorcore kutest piga hata 100 then eka kiganja cha mkono kwenye kioo kizibe utaona mwanga unazima nao.3.Haina Sensor ukipiga simu na kuiweka sikioni kioo hakizimi mpaka nibonyeze power botton,lakini siyo ishu kwangu
Mkuu hii kwa hapa dar inapatikana wapi?Na bei zake zikoje?The best smartphone for me is this one, just because i like to hop my ROM and Optioning, don't worry it's just depends on user preference.
![]()
N:B Iphone suck