Hizo hesabu zako ni sawa na kusema sita gawanya kwa mbili ni sawa na tatu.
Hazo ni MAGAZIJUTO.
Unapoigawanya namba kwa 2, halafu unaiondoa namba yenyewe unabaki na ile 6 uliyoongeza tu. So ukigawanya kwa mbili ni lazima ibaki 3.
Mchezo huohuo ukitumia kuongeza 8 badala ya 6 jibu litakuwa 4. Ukiongeza 4 jibu litakuwa 2.
Good stuff though...