MAHENDEKA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2010
- 340
- 181
Kama tujuavyo kuwa recycle bin ndo 'jalala' la data/documents that have been deleted from computer..swali langu ni kwamba unapo delete au ku-empty.
data/documents zilizopo ndani ya recycle bin,data hizo zinakwenda wapi?,na unapofanya system recovery data hizo (zilizofutwa) zinarudi je? zinatoka wapi? And whats the concept behind this phenomenon?
-Pili nitafurahi endapo mtu atanifafanulia maana ya maneno haya. MEMORY and STORAGE katika lugha ya kiswahili manake kila nikifikiria kwa makini naona kama yana maana sawa vile
data/documents zilizopo ndani ya recycle bin,data hizo zinakwenda wapi?,na unapofanya system recovery data hizo (zilizofutwa) zinarudi je? zinatoka wapi? And whats the concept behind this phenomenon?
-Pili nitafurahi endapo mtu atanifafanulia maana ya maneno haya. MEMORY and STORAGE katika lugha ya kiswahili manake kila nikifikiria kwa makini naona kama yana maana sawa vile