Usijali. ....watakuja tu. Tusubiri wenye Degree waishe kwanza. ...Naona level ya Elimu nayo ni kigezo,,,
Sasa wengine sisi kina bashite si tutakosa wake
8...ndio kamaanisha nini?Hizo sifa zimeniacha hoi. nimecheka sana
Ukisoma vizuri Ndo humohumo.Nahisi nyakati zimebadilika sana, sisi enzi zetu hatukuwa na vigezo vya urefu, rangi, elimu.
Tulizingatia tabia na uwezo wa kufanya kazi (siyo mvivu), naona siku hizi vijana mnaweka masharti mengi sana kiasi kwamba nawaza ingekuwaje ningekuwa sijaoa.
Ameeen!Mungu akufungulie mlango Preciouss maana hitaji lako ni jema kabisa. Anayekuponda atakuwa hana maana kabisa. Endelea kushikilia maono yako --- Mithali 23:7 7 Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. -------- gangamala na huyo soul mate unayemuona nafsini mwako; na ultimately atakuja.
Dah kwakweliUsijali. ....watakuja tu. Tusubiri wenye Degree waishe kwanza. ...
8 ziko mbili, unaulizia ipi?8...ndio kamaanisha nini?