aisee kama degree hana asijisumbue masharti mengiiii halaf mnakuja kutafuta wachumba mitandaoni
Hawalipend hilo jinaSingo mamaz kwenye ubora wako woyooooooh
Aisee umenifurahisha sana! Akikosa kabisa aje sio?Yani nimepungukiwa Degree tu ningejipatia mtoto. Ila hamna noma ukikosa kabisa utanitafuta
Eti mtoto halali na nini?Kila la heri, msalimie mwanao
So cool my ccKuna watu wana mambo humu ndani.Any way.It's cool.