nini?????Nilitaka nilete special request kwako ukiniruhusu nibadili
Naiona mwaya, hapa natetemekaje baridi. Nitumishie lile blanketi lako basi..Bht mwenyewe kapotea sijui kaenda wapi tena...
Unaiona mvua inavyoleta raha??
Haya lete upesi...naisubiria kwa hamu.Nilitaka nilete special request kwako ukiniruhusu nibadili
Haya lete upesi...naisubiria kwa hamu.
Sitaki manake umeandika dear Fl, rekebisha kabla sijanuna!Dear FL,
Baada ya kupendezwa na jina unaloniita, nimeonelea kuwa itakuwa busara kama ntali officialize kuwa nick name yangu.
Kwa heshima na taadhima naomba idhini yako kama mmiliki halali wa jina hilo kwa sasa.
Hehehe! Maombi yako nayafanyia kazi M' Jr ..Dear SL,
Baada ya kupendezwa na jina unaloniita, nimeonelea kuwa itakuwa busara kama ntali officialize kuwa nick name yangu.
Kwa heshima na taadhima naomba idhini yako kama mmiliki halali wa jina hilo kwa sasa.
Haya nimeona M' Jr...usijali.Nimerekebisha bwana
Sitaki manake umeandika dear Fl, rekebisha kabla sijanuna!
Kipipi nakusalimu mpendwa!
Hawajambo mwaya! Nafurahi kama uko salama kabisa!Salama kabisa dearest........hawajambo huko ulikokuwa??
nini?????
Thanks Kipipi, yaani kwaajili yako nimecheka kabisa...lol.Usinune we...napenda ukitabasamu!
Wewe every day.....napenda utabasamu!!
Habari yako chipenzi??
Me miss wewe kweli..:A S-heart-2::A S-heart-2:
You are welcome M' Jr..Senkyu mrembo
Hawajambo mwaya! Nafurahi kama uko salama kabisa!