Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Na mie pia shem,ila ndio km hivo siku hazifanani mpaka naadimika!Shem mi mzima kabisa ila Amy sijamuona tangu asubuhi....alikuwa na kikao na wageni kazini kwake....
Nimekumiss sana shem
Nyie mnanicheka wakati hilo ni jambo la heri jaman!