When a Woman Love

When a Woman Love

Hahahaaa Nimechoka kuandika..
Kumbatio na mahaba vimenilegeza hoi bin taaban
@Hazard CFC unamchakata mtoto mpaka anakua hoi taabani ...


Itakua Jolie Jolie alikuchanganyishia mafaili nn???

Ulivompiga chini, si alilia sana ?
 
Tumefika wanga wenyewe tusioua kwa siraha ila maneno.. naanza namna hii

Kwako mweka mada
Mpende akutende,mguu uote tende
Tena kwetu wapambe,abadani tukuchambe!
Na vile ulivyo mzembe,utamuacha akutende
Sisi yetu pombe,wewe lako tende!

Wanga tutakuwangia,tusilipwe hata lupia
Tena tutakufanyia,asilani hutomsikia!

Jitweze mahabani,yakukute mbeleni
Mpe ya sirini,akuvuruge taabani!

Muite wa mahaba,akupe msiba
Akujaze kibaba,uanze kuiba!

Wanga wa wahanga,nimekulia yamini
Manyanga na vimbwanga,havikutoki mwilini!
Mipango nimepanga,yatakutoka mapunyeni
Mimi ndio mwanga,wa mahaba habaduni..

Unetisha sana mkuu!


Happy dude
 
@Hazard CFC unamchakata mtoto mpaka anakua hoi taabani ...


Itakua Jolie Jolie alikuchanganyishia mafaili nn???

Ulivompiga chini, si alilia sana ?
Wee nae umeng'ang'ana na Jolie Jolie
Sijui wataka nini?
 
To you Papa D,
I know you know how much I love you.

Wachana na maneno ya wanga,
Nisikize mimi,nipe vya uvunguni usinibanie,
Nilaze kwenye kifua chako Mashaallah, usiniache hewani.. Nipo tayari kwa ajili yako..

Nakupenda Leo mpaka kesho..
Hazard CFC


May your love be modern enough to survive the times and old fashioned to last forever.
 
Back
Top Bottom