When a man stoops so low- Tabia zisizopendeza kwa mwanaume

When a man stoops so low- Tabia zisizopendeza kwa mwanaume

wanaume omba omba, yaani hata akifiwa ukukutana nae anakuomba rambi rambi, ukiwa mwanamke wake sasa ndo utakoma kila mkiongea kitu lazima aongelee pesa zako au za wengine

wanaume wanaopenda maisha ya juu wakati wavivu kufanya kazi, na kutafuta hela

wanaume wanaopenda kuendekeza kampani za kukutana baa tu
 
Wanaume wa hivyo siku hizi wapo kibao wambea mbeaa nadhani kwaajili ya kuitaka kua wanawake maana siku hiz wanataman kuolewaa ndio
 
Mwanamme anamfahamu mbaya wake halafu badala ya kumface na kumpa makavu analialia,anazunguka au hata kumfungulia thread
cc NYANI NGABU.

I ain't never scared.

If I know for certain that somebody is talking greasy about me I'll get in their face and let them have it.

If he or she wants to knuckle up then we'll go rounds. That's the way it is and that's the way it has always been.
 
Mijanaume inayotukana tukana hovyo + au kushambulia memba wengine humu
 
Wanaume wasiokuwa na heshima kwa wanawake. Sijui walipata malezi gani kwao k yeyote ni ya kudharauliwa, kutumiwa na kutupwa pembeni.
 
Wanaume wasiokuwa na heshima kwa wanawake. Sijui walipata malezi gani kwao k yeyote ni ya kudharauliwa, kutumiwa na kutupwa pembeni.

Hapo kwenye kutumiwa maadam hawabakwi mi nadhani iwe shauri yao au? ??!!!!!!
 
Mijanaume inayopenda kulelewa na wanawake jamani inanikera saana..!
 
Hapo kwenye kutumiwa maadam hawabakwi mi nadhani iwe shauri yao au? ??!!!!!!
What does respect cost? Utakuta rimtu rina uchungu sana na wanawake mpaka unajiuliza is he gayyyyy??
 
What does respect cost? Utakuta rimtu rina uchungu sana na wanawake mpaka unajiuliza is he gayyyyy??
Ha ha ha aaaa duunh kumbe huruma sana ni sooo???!!!!
Respect haina gharama mamii ila tu sasa mchezo mchafu hauna formula!!!!
 
If u insist

I dont and am not in favour!!!!!

Lakini unafanya nini sasa kama mtu kapiga game na kaamua kupiga kimya sababu anazijua mwenyewe kama mpita njia au kakuta ndiyo siyo na hakuwa na nia ya kuoa????!!!!!
Mi naona huyu akisepa bi dada asikunje moyo na kujuta!!!!!
Sababu hata nyie wadada mkikuta game baridi asee huwa hata kuaga inakuwa ngumu!!!!!

Nisahihishe!!!!!
 
I dont and am not in favour!!!!!

Lakini unafanya nini sasa kama mtu kapiga game na kaamua kupiga kimya sababu anazijua mwenyewe kama mpita njia au kakuta ndiyo siyo na hakuwa na nia ya kuoa????!!!!!
Mi naona huyu akisepa bi dada asikunje moyo na kujuta!!!!!
Sababu hata nyie wadada mkikuta game baridi asee huwa hata kuaga inakuwa ngumu!!!!!

Nisahihishe!!!!!

No, maybe we are sailing in different boats. What I meant is love turns sour for most of us. But when it does haina maana kutukana wanawake wote kama inavyoonekana humu jf.
 
Back
Top Bottom