When a man stoops so low- Tabia zisizopendeza kwa mwanaume

When a man stoops so low- Tabia zisizopendeza kwa mwanaume

1.Tabia ya uzushi na kuchonganisha watu. Yaani ukiwa na tabia hii wenzio kwenye garage party watakutimua sababu huna vigezo vya kuitwa mwanaume. Mtoto wa kiume kueneza baseless rumours wala haipendezi.

2.Tabia ya kutojiamini na hivyo kuwa mtu wa mabifu yasiyoeleweka. Mfano unajiita mwanamme na kuna mtu humu JF humjui, hujawahi kumuona, formula ya maisha yake huijui ila you wanna be him so much that it makes you hate him. Chuki binafsi na bifu tuachieni sisi wanawake.

3.Tabia ya kutojitambua kama mwanamme ambae baadae atakuwa mume kisha baba na kichwa cha familia. Lack of sense of responsibility.

4..... ongeza na wewe tabia usiyoipenda kwa wanaume.

vyema sana
 
No, maybe we are sailing in different boats. What I meant is love turns sour for most of us. But when it does haina maana kutukana wanawake wote kama inavyoonekana humu jf.

Ooooonh yeah dada hapo pamoja sasa....hao wa hivyo senzy tu!!!!!
 
kukaa na wanawake mda wote

Aaaanh ngoja kwanza! !!!
Aweza kaa na wanaume muda wote kumbe anatafunwa!!!!!

Nini mbaya kukaa na wanawake ,hivi unajua kuna wanawake wako tough ,smart and reliable kuliko wavaa suruali wengi tu na wanamichongo sustainable sana????!!!!!

Hebu liweke vizuri mkuu!!!!!!
 
1.Tabia ya uzushi na kuchonganisha watu. Yaani ukiwa na tabia hii wenzio kwenye garage party watakutimua sababu huna vigezo vya kuitwa mwanaume. Mtoto wa kiume kueneza baseless rumours wala haipendezi.

2.Tabia ya kutojiamini na hivyo kuwa mtu wa mabifu yasiyoeleweka. Mfano unajiita mwanamme na kuna mtu humu JF humjui, hujawahi kumuona, formula ya maisha yake huijui ila you wanna be him so much that it makes you hate him. Chuki binafsi na bifu tuachieni sisi wanawake.

3.Tabia ya kutojitambua kama mwanamme ambae baadae atakuwa mume kisha baba na kichwa cha familia. Lack of sense of responsibility.

4..... ongeza na wewe tabia usiyoipenda kwa wanaume.
Mwanaume mwenye kiherehere aiseeeee ! af wengi wanakuwaga so dumb and bold headed ila ndo kujifanya wanajua kilakitu! ku accuse wao...kutokufikiri na kuropoka ndo jadi yao. muache wanaume haipendezi
 
tabia ya kuwa mchafu kuoga na kunuka mijasho na kikwapa na mdomo kha!
 
Hahahaaa... Don't forget those men who change their relationship status
each time they fight with their girlfriends .....so, you wonder, .what will happen when they have a fight with their parents? will they change their family status. to orphan?

Hahahaha. Me like this and reminds me of someone.
 
Huu uzi nimeishia kucheka sana lol
Watu wana mambo moyoni wamekutana nayo.

Ila kuna wanamme unawaona unabaki, mmmmhh, waliwahi tu mpododo.
 
Huu uzi nimeishia kucheka sana lol
Watu wana mambo moyoni wamekutana nayo.

Ila kuna wanamme unawaona unabaki, mmmmhh, waliwahi tu mpododo.

Hahahaa. Tunatoa ya moyoni.
 
Mleta mada angeunganisha uzi huu na mwingine usemao "tabia zisizopendeza kwa mwanamke" kama Jean marie aka jMali. Manake ana characteristics zote za kike

cc Koba
Nyie mna bifu nyieee.
 
Back
Top Bottom