When a man stoops so low- Tabia zisizopendeza kwa mwanaume

When a man stoops so low- Tabia zisizopendeza kwa mwanaume

Hao sio wanaume bana ni wavulana na haijalishi ana umri gani

Hata kama ana mika 50 huyo ni mvulana kiakili tu
 
Tabia ya kuwa mtu wa SENGEREMA

Tabia ya kupenda kula ovyohovyo;

Tabia ya kutoijali familia yako .... hapa naomba kufafanua; unamkuta mwanaume anaacha vijisent home lakini akiwa kwenye kilinge anazungusha ofa utafikiri pesa kaziokota - wadada kwenye baa wote wanamuita shemeji - SIPENDI NA SITAKI KABISA TABIA HIZO
 
Karucee,
Kulikoni mama. Leo umeamkia kwa jirani au? Kama limekuudhi hili limtu, litamkie wazi usiliogope. Tunakujua Karucee huna woga. Au aliondoka ghafla bila cha mchana? Usimseme vibaya atarudi tu
Hahahaaa. No, uoga sina ndo maana siku moja moja tuwekane sawa.
 
Tabia ya kuwa mtu wa SENGEREMA

Tabia ya kupenda kula ovyohovyo;

Tabia ya kutoijali familia yako .... hapa naomba kufafanua; unamkuta mwanaume anaacha vijisent home lakini akiwa kwenye kilinge anazungusha ofa utafikiri pesa kaziokota - wadada kwenye baa wote wanamuita shemeji - SIPENDI NA SITAKI KABISA TABIA HIZO
Acha kabisa my friend. Kula kula ovyo sipendi na huko kujidai anazo ndo usiseme.
 
4. Tabia ya kuwasema wanaume wenzangu vibaya kwenye thread zilizoanzishwa na zinazofuatiliwa na wenye K.
 
Kuna mkaka namfahamu amezaa, ameoa yupo kwa shemeji yake. Lo??

Nimewaachia vijana waelezeke...
Mi kuna mdogo wangu hapa sometimes naona anaingia kwenye disputes na dada zake, huwa namuonya tu kuwa kama mwanaume asipende kujihusisha saana na kuwa muongeaji saana kwenye ishu za dada zake.
Sifa ya mwanaume ni kuongea sentensi chache but zilizochaguliwa vyema na zinakuwa bolded
 
4. Tabia ya kuwasema wanaume wenzangu vibaya kwenye thread zilizoanzishwa na zinazofuatiliwa na wenye K.
There is nothing wrong with correcting each other.
 
Tabia ya kujamba jamba....!

Afu ukute amekula wali ma maharage halafu akashushia na maziwa mgango ......
Akiachiakile cha Yusufuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu hadi mbu wanakufa ....!!!!!!
 
Matumizi ya maneno kama mwaya, majanga, jamani, chezea, uwiii kwa mwanaume haipendezi hata kidogo
 
Back
Top Bottom