Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,973
- 54,101
Best hali mbaya
naona..!
Best hali mbaya
Matumizi ya maneno kama mwaya, majanga, jamani, chezea, uwiii kwa mwanaume haipendezi hata kidogo
Nimewaachia vijana waelezeke...
Mi kuna mdogo wangu hapa sometimes naona anaingia kwenye disputes na dada zake, huwa namuonya tu kuwa kama mwanaume asipende kujihusisha saana na kuwa muongeaji saana kwenye ishu za dada zake.
Sifa ya mwanaume ni kuongea sentensi chache but zilizochaguliwa vyema na zinakuwa bolded
Hahaaaa. Lol. Lini ulifanya hivyo? Na ilikuwaje? Charger bwana?
nyambafu kabisa... nilikaa na shemegi zangu wawili kwa miaka4 wakisoma, wakaanza na dharau kwa dada yao wakiniona mimi ndio ndugu yao, walivyomaliza mitihani wiki iliyofuata kila mtu nikambebesha virago vyake...Kuna mkaka namfahamu amezaa, ameoa yupo kwa shemeji yake. Lo??
Jambo jingine baya ni kukosa msimamo katika kufanya baadhi ya mambo,unakuta makubaliano ni hivi ila mtu anaenda kinyume na makubaliano.
alafu pia wengine wako conservative sana,yani hataki kubadilika hata kama kakosea.kisa yeye mwanaume kasema anataka asikilizwe tu.