Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,196
- 34,502
1.Tabia ya uzushi na kuchonganisha watu. Yaani ukiwa na tabia hii wenzio kwenye garage party watakutimua sababu huna vigezo vya kuitwa mwanaume. Mtoto wa kiume kueneza baseless rumours wala haipendezi.
2.Tabia ya kutojiamini na hivyo kuwa mtu wa mabifu yasiyoeleweka. Mfano unajiita mwanamme na kuna mtu humu JF humjui, hujawahi kumuona, formula ya maisha yake huijui ila you wanna be him so much that it makes you hate him. Chuki binafsi na bifu tuachieni sisi wanawake.
3.Tabia ya kutojitambua kama mwanamme ambae baadae atakuwa mume kisha baba na kichwa cha familia. Lack of sense of responsibility.
4..... ongeza na wewe tabia usiyoipenda kwa wanaume.
2.Tabia ya kutojiamini na hivyo kuwa mtu wa mabifu yasiyoeleweka. Mfano unajiita mwanamme na kuna mtu humu JF humjui, hujawahi kumuona, formula ya maisha yake huijui ila you wanna be him so much that it makes you hate him. Chuki binafsi na bifu tuachieni sisi wanawake.
3.Tabia ya kutojitambua kama mwanamme ambae baadae atakuwa mume kisha baba na kichwa cha familia. Lack of sense of responsibility.
4..... ongeza na wewe tabia usiyoipenda kwa wanaume.