Richard Nguma
Member
- Apr 29, 2011
- 64
- 5
Wakuu wa nchi , makamanda naombeni kuuliza kuna hizo machine
Nimetaja hapo juu nataka kuzinunua hapa USA nije nazo home Ar kwa ajili ya bussiness je kuna fundi anaweza anaweza kuzioperete maana zote zinatumia mfumo wa computer, kuna hii machine moja kwa ajili ya oil change inaitwa two post lifts je kuna fundi anaweza kuifunga?kuhusu air compressor ninunue gallon ngapi?air hose size gani?impact range size gani?
Nimetaja hapo juu nataka kuzinunua hapa USA nije nazo home Ar kwa ajili ya bussiness je kuna fundi anaweza anaweza kuzioperete maana zote zinatumia mfumo wa computer, kuna hii machine moja kwa ajili ya oil change inaitwa two post lifts je kuna fundi anaweza kuifunga?kuhusu air compressor ninunue gallon ngapi?air hose size gani?impact range size gani?