WhatsApp Plus APK

WhatsApp Plus APK

Wadau nikikuwa natumia gbwhatsapp waiburn, je kuna app nyingine inayofanya kazi ambayo inacount coment kwenye groups? Nilitumia wahtsapp plus waliiburn pia, nilitunmia yowhatsapp waliburn nayo. Msaada kwa anayejua hiyo plse
 
Wadau nikikuwa natumia gbwhatsapp waiburn, je kuna app nyingine inayofanya kazi ambayo inacount coment kwenye groups? Nilitumia wahtsapp plus waliiburn pia, nilitunmia yowhatsapp waliburn nayo. Msaada kwa anayejua hiyo plse

mi mpaka sasa bado natumia GB whatsapp+ na haijanisumbua miezi 2 sasa..Tatizo kabla hujainstall unatakiwa ufute ile original whatsapp na ufute folder zake zote ndo itakubali.Ila simu yako kama umeiROOT ndo utaipa 100% whatsapp+ kulala miaka yote kene simu yako.
 
Yan mi hata sielew hz sampul za wapi #Asprin huyo dogo nilimkuta jukwaa la Elimu anaomba kuangaliziwa amepangiwa wap chuo.
ata jiheshimu taratibu sio makosa yake.. uku dogo aelewe uku ni tech tu amna blah blah
 
Wadau nikikuwa natumia gbwhatsapp waiburn, je kuna app nyingine inayofanya kazi ambayo inacount coment kwenye groups? Nilitumia wahtsapp plus waliiburn pia, nilitunmia yowhatsapp waliburn nayo. Msaada kwa anayejua hiyo plse

Tumia enwhatsapp
 
Mkuu kcamp vipi yenye single tick bado haijatoka kiongozi...?.

Naona hizi nyingine zote zina bugs kuwa uki-enable tu hiyo feature msg zinachelewa aisee.
 
Last edited by a moderator:
vp nikitaka hizi tiki mbili,zisibadilike rangi ata nikisoma msg,kwa whatsApp ya kawaida inawezekana
 
Mkuu kcamp vipi yenye single tick bado haijatoka kiongozi...?.

Naona hizi nyingine zote zina bugs kuwa uki-enable tu hiyo feature msg zinachelewa aisee.


bado mkuu..Naona update zote hawajafix hii kitu bado
 
Last edited by a moderator:
vp nikitaka hizi tiki mbili,zisibadilike rangi ata nikisoma msg,kwa whatsApp ya kawaida inawezekana



Inawezekana

fungua whatsapp kisha setting kisha account kisha privacy kisha utaona read receipts wewe untick hapo kazi imekwisha.
 
Yani mm mwenyewe niliingia kichwa kichwa hii web ilinifanya hadi ni unistall browser yangu sababu ya Ads


Ndio mana tunapendekeza mtu uwe una adblocker kwenye simu yako.
 
Back
Top Bottom