Whatsapp na Mgogoro wa Familia

Whatsapp na Mgogoro wa Familia

naima79

Senior Member
Joined
Feb 27, 2009
Posts
188
Reaction score
115
t
 

Attachments

  • wsp.jpg
    wsp.jpg
    92.5 KB · Views: 2,453
Ningekua mimi ningekua sijaribu ku comment chochote kwenye hilo group. Wala hata kusoma post ningekua sisomi' dawa ya moto ni maji!

Nimeshajaribu hivo my ila inakuwa ngumu kidogo wakati mwingine unajikuta umesoma japo si yote
 
Watu wengine akili zao zipo makalioni, huyo mwanaume kashikiwa akili hata hajielewi...!!!!
i wish nijue hiyo huwa inamaanisha nini, best yangu flan ye ananambia kila ndugu wa mme(dadaz) wanapokuja kuwatembelea lazma mme awe upande wa dada zake, wakienda church dada anabebewa mkoba wife anabeba mkoba wake na mtoto mgongoni, mme anamuagiza wife mletee chakula wifi ako ye kanyoosha miguu kama toothpick kwenye kochi, shortly zile care za mke zinahamia kwa dada ndo kusema!!!???dada anamreplace mke au....ha ha ha nicheke kama mazuri!!!!
bidada pole mwaya jitoe tena kwenye group na umwambie asikuweke
 
pole sana
napenda kukusifu na tabia yako yauvmulivu, mungu yu pamoja nawe. turudi kweye mada, dada yangu wakati wa ndoa wewe uliozeshwa na walii zako pamoja na mshenga vipi ulijaribu kwaambia unayokumbana nay?? ni kwa nni mumeo asikutaftie pa kukaa ili uwapishe. Mumeo anakosea na anapata dhambi kubwa, cha kufanya wewe kaa kimya huko wosap usichangie mada. vipi kuhusu wazazi wako uliwah kuwashirikisha juu yahili?????
 
Kwa tabia hizi za kike mumeo atakuwa mtu wa Pwani ama Zenji.

aiseee, apana kaka/dada
naomba ututake msamaha sisi wanaume wazenji, hatunaga upuuzi uwo kw kweli,

mim maisha angu na mke wangu yapo kivyangu vyangu, hatuna ata maingiliano na ndugu ndugu.
apo uyo m.mme mpuuzi, utatengenezaje grp ya familia aafu unamleta mkeo,
aaaaggggrrrr, jamaa mpuuzi sana, mi kuna sehem moja tu nd tupo grp moja na wife na sio familia, ni marafk zetu, na wife yee lake jicho
 
Ndoa za wake wenza;si mpango wa Mungu mkuu, tangu uumbaji wake.
Kama wewe naima79 si mke wa kwanza; tafuta mme mpyaaa !
 
Last edited by a moderator:
naomba niwe mkali kidogo kwanza mama naomba hiyo simu ya whatsapp unaweza itoaonline kwa nini? mute hilo group message ziingie hadi mia usisome... hakuna kucoment kwenye huo upuuzi magroup ya familia mengi ni unproductive na kupoteza muda unafki mwingi ni shida.... mwnaume akuelewi unaweza ingiza namba nyingine itumike kama whats app number kwa watu muhimu tu hata mumeo usimpe... kwanza mumeo ni mjinga na poyoyo ukiona mwanaume anakalia umbea haki ya nani mimi ningegeuka mume umo ndani ili achape umbea vizuri mfyuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Niulize enyi walimwengu huyu bwana anavyonitesa
kanitoa kwetu kwa baba na mama
kwa vigeregere na heshima nyingi
mtizameni sasa anavyonigeuka
mtizameni sasa anavyonigeuka

Mambo anayoyafanya ni Aibu kusema kwa kuwa leo nina uchungu nitakueleza

old is gold
Ndoa ya mateso
Marijani Rajabu
digital hamzijui hizi
 
naomba niwe mkali kidogo kwanza mama naomba hiyo simu ya whatsapp unaweza itoaonline kwa nini? mute hilo group message ziingie hadi mia usisome... hakuna kucoment kwenye huo upuuzi magroup ya familia mengi ni unproductive na kupoteza muda unafki mwingi ni shida.... mwnaume akuelewi unaweza ingiza namba nyingine itumike kama whats app number kwa watu muhimu tu hata mumeo usimpe... kwanza mumeo ni mjinga na poyoyo ukiona mwanaume anakalia umbea haki ya nani mimi ningegeuka mume umo ndani ili achape umbea vizuri mfyuuuuuuuuuuuuuuuu

Hiiii.. mume mswahili,mshakunaku kweli..mbona dada anauwezo was kujitoa whatssap vizuri amwache akipiga. Umbea ..jianaume la kujishushia stamina la nini kuliendekeza
 
Kuishi na wake wenza wenye midomo ni kazi, but kuishi na mwanaume asiyejielewa ni mzigo jamani. Jaribu kukaa na mumeo uongee naye kwa kina kuhusu yote yanayokukera, na umwambie kabisa asikujoin tena kwenye hilo group lao eishhhh
 
Niulize enyi walimwengu huyu bwana anavyonitesa
kanitoa kwetu kwa baba na mama
kwa vigeregere na heshima nyingi
mtizameni sasa anavyonigeuka
mtizameni sasa anavyonigeuka

Mambo anayoyafanya ni Aibu kusema kwa kuwa leo nina uchungu nitakueleza

old is gold
Ndoa ya mateso
Marijani Rajabu
digital hamzijui hizi
kwa mara ya kwanza you have made sense.
 
naima79

Jitoe kwenye hilo group kisha mblock namba yake....kwisha kazi...una swali lingine?
 
Last edited by a moderator:
aiseee, apana kaka/dada
naomba ututake msamaha sisi wanaume wazenji, hatunaga upuuzi uwo kw kweli,

mim maisha angu na mke wangu yapo kivyangu vyangu, hatuna ata maingiliano na ndugu ndugu.
apo uyo m.mme mpuuzi, utatengenezaje grp ya familia aafu unamleta mkeo,
aaaaggggrrrr, jamaa mpuuzi sana, mi kuna sehem moja tu nd tupo grp moja na wife na sio familia, ni marafk zetu, na wife yee lake jicho

Haya mkuu rayun ngoja waje wengine nitakomajeee?
 
Back
Top Bottom