Whatsapp calling activation

Whatsapp calling activation

Jamani mtu aliye kwisha activate whatsapp calling naomba anipigie nichek kama itakuwa enabled kwangu namba yangu ni 0767507092
 
Is it still working?? Kwangu inagoma kuinstall

Yes,,,bado inafany kaz,,,unachotakiw kufany ni ku-install hiyo latest version then ntxt whtsapp,ntakupgia ndo utakua activated.
 
Ni kweli voice Call Whatsapp inafanya kazi, Nimeweza kupokea na kumsikia farijiel
Changamoto - Je nitawezaje Kumpigia mtu mwingine? Nikijaribu kupiga kupitia whatsapp haikubali


Screenshot_2015_03_12_07_07_05.png


Screenshot_2015_03_12_07_18_33.png

 
Last edited by a moderator:
Kama unahitaji whatsapp calling kweny cm yako ya android fanya yafuatayo

Update whatsapp yako to latest version

Link- download hapa make sure unadowload version 2.11.561
Pili nitext kwenye whatsapp kwa kuandika JAMIIFORUMS kweny namba 0713190269

then ntakupgia cm kwa whatsapp unachotakiwa ni kupokea cm

Fanya faster b4 server za activation hazjafungwa.
Mtaarifu na mwenzio,..

thanx Mkuu farijieli ......it works

viva JF home of great thinkers
 
Last edited by a moderator:
Kama unahitaji whatsapp calling kweny cm yako ya android fanya yafuatayo

Update whatsapp yako to latest version

Link- download hapa make sure unadowload version 2.11.561
Pili nitext kwenye whatsapp kwa kuandika JAMIIFORUMS kweny namba 0713190269

then ntakupgia cm kwa whatsapp unachotakiwa ni kupokea cm

Fanya faster b4 server za activation hazjafungwa.
Mtaarifu na mwenzio,..

Thnx a lot bro, its working perfectly
 
Kama unahitaji whatsapp calling kweny cm yako ya android fanya yafuatayo

Update whatsapp yako to latest version

Link- download hapa make sure unadowload version 2.11.561
Pili nitext kwenye whatsapp kwa kuandika JAMIIFORUMS kweny namba 0713190269

then ntakupgia cm kwa whatsapp unachotakiwa ni kupokea cm

Fanya faster b4 server za activation hazjafungwa.
Mtaarifu na mwenzio,..

Thnx a lot bro, its working perfectly
 
Ni kweli voice Call Whatsapp inafanya kazi, Nimeweza kupokea na kumsikia farijiel
Changamoto - Je nitawezaje Kumpigia mtu mwingine? Nikijaribu kupiga kupitia whatsapp haikubali


Screenshot_2015_03_12_07_07_05.png


Screenshot_2015_03_12_07_18_33.png

Mkuu unayempgia anatakiw awe na version kuanzia ile inayoptikan playstore hadi hii ya 2.11.561.,,ila ili awe activated ni lazma awe na version 2.11.561
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom