cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,336
Ni kweli uaminifu ni shida sikuhizi kwa jinsia zote watu hawawi wakweli sijui wanataka nini yani. Tamaa zimezidiSio sabb hack sabb n uaminifu zero for both men n women .........why ucheat ...siumuambie ukweli ulonae akuache kuliko kundanganya .....achilia magonjwa .....me nikigundua nipo n mtu wa hvo sitofanya kitu ila atapay high price ....ntamuonea huruma why kanisaliti sabb maumivu atayopata yeye n Mara kumi alivonicheta