claudematemu
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 262
- 405
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu
kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5
ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS,
pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu
Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring.
lengo la kuandika huu uzi ni hilii.
1.Nataka mtu ambaye ana ideas ambayo itatuwezesha sisi kupata pesa mimi nita i develop hiyo project bila hata senti moja, ila tuu anihakikihishie baada ya mda flani tutaanza kupata pesa. yeye kazi yake kubwa aweze kuifanyia marketing maaana mimi sio mzuri kwenye kujieleza.
2.Mimi pia nafundisha languages hizo apo juu kwa usahihi na kwa garama nafuu.
karibuni wote ambaye ana Ideas na ambaye anataka kufundishwa.
Addition
Pia kama wewe ni developer uwe upande wa Web au Mobile unaweza ukawasiliana na mimi hapa tukawa kubadilishana mawazo maana naamini kwenye Umoja nakusisitizia usitangulize pesa mbele bali wekeza ili badae uweze kupata pesa ukiweka pesa mbele safari itakua ni Ngumu sana.
Watu wote waliofanikiwa waliwekeza mda kwanza na kutafuta fursa za wao kuwaingizia pesa MIMI PESA SIO KIPAUMBELE CHANGU. KIPAUMBELE CHANGU NI KU INVEST KWA NGUVU ZANGU KWENYE KITU KITAKACHO NIINGIZIA PESA.
MIMI NI BASE SANA NA WEB DEVELOPMENT NA PIA MOBILE APP KWA UPANDE WA ANDROID PEKEE UPANDE NATENGENEZA KWA KUTUMIA KOTLIN ILA KUTOKANA NA DUNIA ILIVO HAPA NDO NIKO NASOMA REACT NATIVE ILI NIKITENGENEZA MOBILE I RUN IOS NA ANDROID.
UPDATE
Mimi sifundishi watu kama unataka nikufundishe inabidi ulipiee embu jaribu kufikiria mtu anakuambia mfundiamshe css, javascript React au Angular buree daah.
Namba ya Simu
0746815931
kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5
ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS,
pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu
Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring.
lengo la kuandika huu uzi ni hilii.
1.Nataka mtu ambaye ana ideas ambayo itatuwezesha sisi kupata pesa mimi nita i develop hiyo project bila hata senti moja, ila tuu anihakikihishie baada ya mda flani tutaanza kupata pesa. yeye kazi yake kubwa aweze kuifanyia marketing maaana mimi sio mzuri kwenye kujieleza.
2.Mimi pia nafundisha languages hizo apo juu kwa usahihi na kwa garama nafuu.
karibuni wote ambaye ana Ideas na ambaye anataka kufundishwa.
Addition
Pia kama wewe ni developer uwe upande wa Web au Mobile unaweza ukawasiliana na mimi hapa tukawa kubadilishana mawazo maana naamini kwenye Umoja nakusisitizia usitangulize pesa mbele bali wekeza ili badae uweze kupata pesa ukiweka pesa mbele safari itakua ni Ngumu sana.
Watu wote waliofanikiwa waliwekeza mda kwanza na kutafuta fursa za wao kuwaingizia pesa MIMI PESA SIO KIPAUMBELE CHANGU. KIPAUMBELE CHANGU NI KU INVEST KWA NGUVU ZANGU KWENYE KITU KITAKACHO NIINGIZIA PESA.
MIMI NI BASE SANA NA WEB DEVELOPMENT NA PIA MOBILE APP KWA UPANDE WA ANDROID PEKEE UPANDE NATENGENEZA KWA KUTUMIA KOTLIN ILA KUTOKANA NA DUNIA ILIVO HAPA NDO NIKO NASOMA REACT NATIVE ILI NIKITENGENEZA MOBILE I RUN IOS NA ANDROID.
UPDATE
Mimi sifundishi watu kama unataka nikufundishe inabidi ulipiee embu jaribu kufikiria mtu anakuambia mfundiamshe css, javascript React au Angular buree daah.
Namba ya Simu
0746815931