Whatsaap web

Whatsaap web

Hongera nadhani umeuandaa moyo kisaikolojia usije ukachukia wanawake wote
Hahahaa n kweli ila hii haiko kimapenz zaidi n kwasabb nyngne jpo nataraji ht ishu za mapnz ntaziona ila nachokusudia hasa s mapnz
 
Bora awe gf au bf tu ....imagine mke au mume .....au ndo mko ktk process za kufunga ndoa ...dah inauma sana
Kweli akiwa girl friend au bf hapo hamna shida tatizo ni uchumba serious au ndoa hapo ni majanga, mtu ukiwa committed na kitu inabidi vingine kuviacha tu, na kuheshimu makubaliano
 
Kweli akiwa girl friend au bf hapo hamna shida tatizo ni uchumba serious au ndoa hapo ni majanga, mtu ukiwa committed na kitu inabidi vingine kuviacha tu, na kuheshimu makubaliano
Wengi hawawezi .....cjui tatzo nn ....mungu ansaidie niwe faithful bora ka simtak mtu nimchane
 
Wengi hawawezi .....cjui tatzo nn ....mungu ansaidie niwe faithful bora ka simtak mtu nimchane
Basi tu ni lack of self control inawasumbua watu sasa swala la ndoa mtu hajali familia wala matatizo ya ndoa kuvunijika na watoto Ku suffer. Ubinafsi na tamaa
 
Sio sabb hack sabb n uaminifu zero for both men n women .........why ucheat ...siumuambie ukweli ulonae akuache kuliko kundanganya .....achilia magonjwa .....me nikigundua nipo n mtu wa hvo sitofanya kitu ila atapay high price ....ntamuonea huruma why kanisaliti sabb maumivu atayopata yeye n Mara kumi alivonicheta
mkuu nahc utaua mtu
 
mkuu nahc utaua mtu
Sitofanya kitu binafs ila najuwa akijuwa nmejuwa mipango mm itaharbika ....n si ishu ya kimapnz hasa jpo mapenz hope ntayaona .....ila mungu ajalie asiwe ameshiriki chochte kwenye hii ishu nayoidoubt ....ila naona dalil ...namsktikia sana ataumia sana
 
Back
Top Bottom