Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
bure hutaweza mkuu na huko unakotaka kwenda ni kujitafutia presha ya bureSabb n nyingi ila ntaweka waz baada ya kufanikisha soon
bure hutaweza mkuu na huko unakotaka kwenda ni kujitafutia presha ya bureSabb n nyingi ila ntaweka waz baada ya kufanikisha soon
Nikitaka kulinda wasap yangu isihackiwe nafanyaje?kila kitu unaweza kuhack mkuu ni kujua tu kama account ya Mark watu walihack mmiliki mwenyewe wa fb kikubwa ni kujua tu hapa tunazungumzia account binafsi ya mtu whatsApp naweza hata mimi kukupa maujuzi ila sitaki privacy za mtu lazima zilindwe toa dau uone kama utashindwa hata yako tunahack hahahaha chezea teke linalokujia
Kwanini unataka Ku hack mwenzako?Ntaleta mrejesho nishainstall jpo ina too much adds nikiipata tu Simu ya muhusika ntawaletea mrejesho ndani ya wiki hii
Mi nikijua mtu ana hack kisa mapenzi namuacha maana nikutokuaminianaSabb n nyingi ila ntaweka waz baada ya kufanikisha soon
Sawa n kweli Ila ngja ntaleta mrejesho Ila hii inajulikana sana ...nimeamya kufanya hv kuepusha madhara makubwa yatayonipata bdae .....sabb Hamn njia ya kuepuka ispkuwa hii ya hacking n mungu nisaidie ...ikikataa ntanunua ile kubwa kabsa n s mapnz yanayonsmbua n mengne tukweli mkuu unapotengeneza app lazima uweke ulinzi ulinde privacy za mteja ingekuwa rahisi hivyo basi whatsApp isingefaa wengi wangefanyiana mbaya
Wanawake wengi wanapinga hacking sijui kwanini ...na ukiona mwenzio akufanyia hvi ujue kuna kitu kahisi mfano Simu yko htk mumeo aishike kwann .....wpo wengi wamenusurika sabb ya hii kitu 0Mi nikijua mtu ana hack kisa mapenzi namuacha maana nikutokuaminiana
kama sio mapenzi kila la kheriSawa n kweli Ila ngja ntaleta mrejesho Ila hii inajulikana sana ...nimeamya kufanya hv kuepusha madhara makubwa yatayonipata bdae .....sabb Hamn njia ya kuepuka ispkuwa hii ya hacking n mungu nisaidie ...ikikataa ntanunua ile kubwa kabsa n s mapnz yanayonsmbua n mengne tu
Ht dini yetu inakataza kumfanyia ujasusi mtu ......"Na wala msichunguzane " ....ila s ujasusi wote n mbaya ....mwngne huiepusha jamii au mtu binafs na madhara makubwa na hakuna njia nyingne ispkuwa hii uweze kujiridhsha kutkn n jmbo hilo .Nipo tayar ntakaposmama mbele YA Allah atapaponihoj why nlimhack mtu ....ntampa strong reasons na bila shaka atakubaliana na mm cna shaka juu ya hilo n him is knowing bestKwanini unataka Ku hack mwenzako?
Kuwa muaminifuNikitaka kulinda wasap yangu isihackiwe nafanyaje?
Ndio nakuwa mwaminifu ila mtu kufatilia mambo yangu binafsi in the name of uaminifu ni kuingilia privacy.Kuwa muaminifu
Haya bwanaHt dini yetu inakataza kumfanyia ujasusi mtu ......"Na wala msichunguzane " ....ila s ujasusi wote n mbaya ....mwngne huiepusha jamii au mtu binafs na madhara makubwa na hakuna njia nyingne ispkuwa hii uweze kujiridhsha kutkn n jmbo hilo .Nipo tayar ntakaposmama mbele YA Allah atapaponihoj why nlimhack mtu ....ntampa strong reasons na bila shaka atakubaliana na mm cna shaka juu ya hilo n him is knowing best
Zpo njia uwe unaifuta kila baada ya muda na mfano wa hzo ....kifupi tu wengi wanaohakiwa huwä sabb n mapenz ....bs kuwa faithful kwa mwenzio au achana nae ...coz wachache wanahack kwa sabb tofaut n mapenz ........Na asilimia 97 walotumia njia hii walikuta wenzao wanacheatNikitaka kulinda wasap yangu isihackiwe nafanyaje?
Mimi binafsi sipendi hacking naona ni ujinga gani sasa unafatilia chart za MTU ili iweje hivi mtu unafikiri kwa dunia hii waweza tumia simu hasa simu au texts kufanya mawasiliano uwe safe. Mi nikitaka kufanya jambo situmii simu, hata normal charts tu sipendi mtu ajue hata Mimi kufatilia CMU ya mwenzi ctaki.Wanawake wengi wanapinga hacking sijui kwanini ...na ukiona mwenzio akufanyia hvi ujue kuna kitu kahisi mfano Simu yko htk mumeo aishike kwann .....wpo wengi wamenusurika sabb ya hii kitu 0
Nahc akikukuta muaminifu hawez tena kukuhack sabb atakuwa keshajiridhshaNdio nakuwa mwaminifu ila mtu kufatilia mambo yangu binafsi in the name of uaminifu ni kuingilia privacy.
Had kuni hack haniamini na Mimi napunguza upendo sasa mtu anafatilia chart zako za marafiki familia, huyo aseme ananipenda, the moments I know it's over, kuishi na mtu usiyeaminiana na Ku move on tuNahc akikukuta muaminifu hawez tena kukuhack sabb atakuwa keshajiridhsha
Ili agundue mke au mpnz n muaminifu yann kudanganyana ....ypo alonusurika ukimwi sabb ulikuwa hackingMimi binafsi sipendi hacking naona ni ujinga gani sasa unafatilia chart za MTU ili iweje hivi mtu unafikiri kwa dunia hii waweza tumia simu hasa simu au texts kufanya mawasiliano uwe safe. Mi nikitaka kufanya jambo situmii simu, hata normal charts tu sipendi mtu ajue hata Mimi kufatilia CMU ya mwenzi ctaki.
Ndo mana mahusiano yanakufa sikuhiziIli agundue mke au mpnz n muaminifu yann kudanganyana ....ypo alonusurika ukimwi sabb ulikuwa hacking
Me binafs swez fatilia chat zako ikiwa nakuona n muaminifu na tuko vizur ....ispokuwa kuna viashiria Mtu anaviona so inabd ajiridhshe ..it's like uwe n homa kichwa kuuma n mfano wa hyo ...lazma utaenda upima ujue n malaria au nn ...so even hacking n kipimo baada ya kuona dalil za maradh yaitwayo ukosefu wa uaminifu .........haswa ikiwa muhusika anabisha ....ngekuhadithia kisa changu ila bsHad kuni hack haniamini na Mimi napunguza upendo sasa mtu anafatilia chart zako za marafiki familia, huyo aseme ananipenda, the moments I know it's over, kuishi na mtu usiyeaminiana na Ku move on tu
Sio sabb hack sabb n uaminifu zero for both men n women .........why ucheat ...siumuambie ukweli ulonae akuache kuliko kundanganya .....achilia magonjwa .....me nikigundua nipo n mtu wa hvo sitofanya kitu ila atapay high price ....ntamuonea huruma why kanisaliti sabb maumivu atayopata yeye n Mara kumi alivonichetaNdo mana mahusiano yanakufa sikuhizi
Nashkuru sanakama sio mapenzi kila la kheri