Whats your talent...???

Duh! hiki kipaji chako ni cha ukweli.

hiyo kitu nakusimulia hadi milio ya risasi, ngumi, teke, muungurumo wa gari, ndege, baiskelii, alipokunja uso na mie nakunja, alipocheka na mie nacheka, kama kuna mtu alilia kwenye movie, nalia pia, ... we acha tu!
 
Duh! hiki kipaji chako ni cha ukweli.

hiyo kitu nakusimulia hadi milio ya risasi, ngumi, teke, muungurumo wa gari, ndege, baiskelii, alipokunja uso na mie nakunja, alipocheka na mie nacheka, kama kuna mtu alilia kwenye movie, nalia pia, ... we acha tu!
 
Nna kipaji cha ngono zembe. Afu kipaji changu kinaimarika mpaka sasa nimepewa kipaji cha kuwamega watu wa jinsia yangu. Kuna mtu wa kiume mwenye sura nzuri na macho ya kuvutia humu jamvini nimmege?

Tafazali aniPM kwa ajili ya serious business..... Ntaprefer yule anayejiona ni mzuri na anasumbuliwa sababu ya uzuri wake.....
 
hiyo kitu nakusimulia hadi milio ya risasi, ngumi, teke, muungurumo wa gari, ndege, baiskelii, alipokunja uso na mie nakunja, alipocheka na mie nacheka, kama kuna mtu alilia kwenye movie, nalia pia, ... we acha tu!
Dogo acha uongo
 
Sure i can handle two experts....That's not being naughty. its called a "blessing"!! 🙂
 
hiyo kitu nakusimulia hadi milio ya risasi, ngumi, teke, muungurumo wa gari, ndege, baiskelii, alipokunja uso na mie nakunja, alipocheka na mie nacheka, kama kuna mtu alilia kwenye movie, nalia pia, ... we acha tu!

Sasa ukilia si unawapa kazi ya kukubembeleza wasikilizaji?
 

Lol.. Umenichekesha mpaka nimedondosha parachichi langu!
 

babu unanibipu ee??
 
Hongera sana mkuu. Una talent nzuri sana. Ni vyema kama ukaendeleza kipaji chako kwa kusoma zaidi badala ya kulewa sifa na kubweteka.

kwanza asante kwa angalizo, ukweli ni kwamba sijabweteka wala kulewa sifa, nimeyasema haya ili pia kuwapa moyo kwamba inawezekana ukafikia mafanikio mradi tu uwe na nia.

kama ingekuwa ni kubweteka wala nisingechangia hoja hii, maana nisingekuwa na chochote cha kuita kipaji, unajua hata vipaji lazima vikuzwe baada ya kugundulika. hapa nilipo najifunza 3d modelling and animation meaning kwamba naendeleza kipaji changu cha graphics to an advanced level. kwa hiyo sijabweteka na wala sijisifii ila tu najipa nguvu ya kufanya zaidi ya hapa.

mada hii ni nzuri hongera sana kwa kuianzisha. watu wengi sana hawajatambua vipaji vyao. kwa taarifa hakuna mtu asiye na kipaji ila tu ni uvivu wa kufikiri.
kipaji ndio talanta (talent) ambayo kila mwanadamu amepewa na mungu kwa mujibu wa maandiko. mungu hawezi kukuletą duniani halafu asikupe ngenzo za ku survive. thanks
 

Thanks mkuu na shukrani sana pia kwa mawazo yako mazuri. naamini yamewafikia walengwa.
 

tan taraaaa!...
 

mkuu hongera sana,vipaji vyako vyote vinavutia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…