Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
nitawaeleza nimeipataje ...ila naomba kuuliza swali hivi takukuru hawapitagi humu jf ?
kweli kabisaaSio ya kwanza lakini kuna kazi niliwahi kupata kupitia JF jukwaa hili, kutokana na network nliyotengeneza wakati nipo hapo ikaniwezesha kupata kazi yenye maslahi zaidi ambayo ndio naendelea nayo.
JF ya siku hizi sio reliable kama ya kipindi hiko. Siku hizi kumejaa utapeli na matangazo ya kutembelea blog za watu.
zina chaji au kweupe?Dah nmesoma hii thread nmejikuta natabasamu.... At my age ( less than 25 years ) nmeshafanya kazi sehemu tatu... Mmh mungu huyu jamaniii
Nkipata nafasi ntakuja kuelezea jinsi nlivyopata kazi zote moja baada ya nyingine sehemu zote na sababu ya kuacha.... Its interesting maana sikua na refa uko wala nna e mjua
hahaha waTanzaniaNilipata kazi kwa kuambiwa ukifika pale sema nimeelekezwa na A. Lakini hadi leo hii hatujawahi kuonana na A.
Sijakuelewa mpendwa ulichomaanishazina chaji au kweupe?
nani ananipenda huyo ?Sijakuelewa mpendwa ulichomaanisha
Umefufuka na fujo nyingi sana mkuu!!Mimi sina kazi. Sina elimu kivile.
Naishi kiujanja ujanja tu.
ww c mtu mzuri. Ulitaka akatoe K sio.. maana ndicho unamaanisha?Sasa kwanini ulienda mara moja "tu" kwa mtu aliyekufanyia wema? Huna fadhila?
Usingempa mimba huyo binti,seem like nafasi ya kupata hiyo kazi ingekuwa ndogo..kuna vitu vinatokea kwa sababuMimi baada ya kumaliza chuo harakati za kusaka ajira zikaanza nilisota kitaa kwa mwaka mmoja. Kipindi wakati bado nipo kitaa nikakutana mwanamke ambaye kwasasa ni mke wangu tukaanzisha uhusiano kipindi hicho, Maisha yakaendelea kusonga bila kutarajia nikampa ujauzito alipoulizwa akanitaja nikaitwa kwao kuulizwa nikakubali. Kwakuwa tulikuwa tunaishi mtaa mmoja na wazazi wangu na wake wanajuana wakakaa chini kuyajenga ikabidi nimuoe . Baada ya miezi mitatu nikiwa naishi na mke wangu tunalea mimba dada yake akaja kuniambia niende kwenye interview na copy za vyet ktk idara moja ya serikali nilipofika nilijitambulisha basi wakachukua copy wakaniambia nitoke nje baada wiki NNE nikapigiwa simu nilipoti kazini. Mpaka Leo nipo na kazi hiyo hiyo.
Yah ni kweli sikuwahi kuwaza kitu kama hicho kingetokea katika Maisha yangu.Usingempa mimba huyo binti,seem like nafasi ya kupata hiyo kazi ingekuwa ndogo..kuna vitu vinatokea kwa sababu
Sometimes mlango wa mafanikio unakuja kwa njai ya ajab kabisa.Mimi baada ya kumaliza chuo harakati za kusaka ajira zikaanza nilisota kitaa kwa mwaka mmoja. Kipindi wakati bado nipo kitaa nikakutana mwanamke ambaye kwasasa ni mke wangu tukaanzisha uhusiano kipindi hicho, Maisha yakaendelea kusonga bila kutarajia nikampa ujauzito alipoulizwa akanitaja nikaitwa kwao kuulizwa nikakubali. Kwakuwa tulikuwa tunaishi mtaa mmoja na wazazi wangu na wake wanajuana wakakaa chini kuyajenga ikabidi nimuoe . Baada ya miezi mitatu nikiwa naishi na mke wangu tunalea mimba dada yake akaja kuniambia niende kwenye interview na copy za vyet ktk idara moja ya serikali nilipofika nilijitambulisha basi wakachukua copy wakaniambia nitoke nje baada wiki NNE nikapigiwa simu nilipoti kazini. Mpaka Leo nipo na kazi hiyo hiyo.
Yani sijui ingekuwaje maana sikuwa na network yoyote wala katika familia yangu hakukuwa na mtu anayeweza kunisaidiaSometimes mlango wa mafanikio unakuja kwa njai ya ajab kabisa.
Imagine usingekutana na mke wako, mambo yangekuwaje mpaka sasa?