What's the bad/dangerous thing(s) you can't stop doing?

What's the bad/dangerous thing(s) you can't stop doing?

Mkuu nifundishe hiyo tahjudi ili uniokoe Tafadhali

Hata mlinzi kwangu nilimwambia akapumzike kwao maana Mimi ikifika usiku sipati usingizi kabisa
Ila kuanzia SAA 5am ndo unakuja

Imefikia hatua bila tungi kichwani basi hata mmbu akitua juu ya bati naskia kishindo chake.
Sitakufunza tahjudi..ila ngoja nikupe trick za kupata usingi.
  • Chagua muda unaopenda kuingia kitandani..kulala
  • Ukishafika kitandani vaa nguo nyepesi zitakazokuwezesha kulala bila kubana mwili wako (mishipa ya damu)
  • Lala. I mean nenda kitandani mawazo ukiwa umeyaelekeza kulala tu. Fumba macho ukiwa umelala mlalo ambapo upo comfortable
  • Usifanye chochote tofauti na kulala (simu zima). Fumba macho halafu uwe ume concerntrate kwenye kusinzia tu.
  • Acha kuwaza demu,maisha,shida,mihangaiko ya kesho,malengo nk nk wakati unataka kulala.. waza kulala tu
  • Psychological ukifumbua macho bila kukapua kwa muda wa dakika mbili kama una usingiz wote unaisha. Kama unataka kusinzia pia kapua/Blink kwa muda wa dakika 2 harakaharaka. Utayachokesha macho hivyo yatahitaji kupumzika..mwisho utasinzia.
  • Hatua hiyo ya juu ikishindikana kabisa hesabu kuanzia 100 mpka 1. Yaani 100,99,98,97....1
Njia zote hizo zikishindikana...
Chukua bilinganya menya katakakata kama chipsi changanya na yai la kienyeji.. kaanga kama vile wanavyokaanga kiepe yai. Kula kwa muda wa wiki..
Nakuhaikikishia within 3 day utakua unaangusha kama mlevi.
NB. Hiyo mixer onaweza kukukifu ila usiache
 
Drive em cars like freakin Max Verstappen...

1551246364612_20200130_044237824.jpg

Just know that am at the back seat, seatbelt closed.... Please switch off the air condition, I want to feel the natural breeze while killing the distance overtime...

Msalimie jirani yako double R RRONDO

In love with Nissan Nyeupe..

Kasinde Mavurugu.
 
Kukaa tu macho usiku hali ya kuwa sifikirii chochote(nashindwa kulala).Sipendi kuwa karibu na watu ninaowapenda,hata kama nikifall kwa mtu huwa napenda tu iishie hivyo kuwa nampenda,sihitaji mahusiano wala ukaribu nae.Natamani nisiwe hivyo Ila ndo ipo tu hivyo,Nadhani hakuna njia tens.
 
Hi guys.

Truthfully, I am a night owl for years now. Staying up late, while having to get up early the next morning. I have been walking up a bit tired, dizzy and hard to get productive work done in the mornings .

I always promise myself that, I can never let this happen again. I will change, I will go to bed earlier and sleep, but it keeps happening. I always say "just ten more pages" then I picked another 20,30,40 pages to read before I go and end up going to bed at midnight.

Sometimes I feel like I am a politician who keeps promising change but doesn't care enough to keep it. You see, I do care but it's just I cant stop from happening even though I know what I'm doing is not good for my health , I do it anyway.

Lastly, Popping any pimples. I use my nails. It feels good till it leaves scar that's when regret takes over. I know it's a bad habit and I need to and I want to stop but whatever reason I seem to be unable to. I just don't think I will ever be able to stop it.

Guys what is something that is bad for you and you know it, but you still keep on doing it?

Welcome guys, the weekend it's almost here.
G'day.
Nenda kakanyage mafuta ya Mwamposa
 
It is all about "perception"!!! - "Bad or Good" could mean different thing to different people"...

I personally treat "threesome" as good thing but to some people it is not only bad, but it is a SIN!!!
Duh wee kiboko soo ni mwendo wa papuchi mbili at the same time..... Thot i was the only one hahaha
 
Best mimi nimekuwa msomaji kiasi naona tabu kuandika maana nkiandika naingia "matatizoni "

Nasoma kule kwenye kula tunda kimasihara
😀😀😀😀😀😀😀.
Best unaonewa. Nachopenda unajua kujiweka mbali na matatizo.

Kule kwa kimasihara na mimi nasoma wikiend kimya kimya. Hapachoshi kabisa.
 
😀😀😀😀😀😀😀.
Best unaonewa. Nachopenda unajua kujiweka mbali na matatizo.

Kule kwa kimasihara na mimi nasoma wikiend kimya kimya. Hapachoshi kabisa.
Hakika best. Nakushkuru nawe pia, umenisaidia kwa nafasi yako kuwa mbali na majanga.

Kwenye kula tunda kimasihara mpaka Maxence Melo anapitia pitia sometimes, take it from me!
 
Back
Top Bottom