"What went wrong with Harmonize" not 'to'.
Jamaa nilikiwa namkubali sana,sababu alikuwa mtu wa kujituma.Naona alikurupuka kutoka WCB,alikuwa bado hayupo tayari kusimama kama yeye.Wasafi wapo smart na ni label wenye watu makini sana ndo maana wametoa na bado wanaendelea kutoa wanamziki na nyimbo nzuri.Ukiangalia toka Diamond wa mbagala,ray van,mbosso,Harmonize wenyewe mpaka walipofika na Zucchu ni Transformation kubwa.Wasafi wanajua jinsi ya kunoa vipaji,wanawatafutia wasanii matamasha,wanawatangaza na wanajua biashara.Harmonize alifikir kipaji pekee inatosha,akasahau kuwa inabidi aji.'re introduce' kwa washabiki wake kitu ambacho hakufanya,ndo mpaka leo ukimuangalia bado ana u diamond kila anachofanya ma hii ina 'bore' sana.Kujiita tembo inaonyesha hana ubunifu,kuvaa micheni kibao,maguo mengi ya joto,mi tatoo mwili mzima,yaani ana fanya mambo kupitiliza mpaka inachefua.Ukisikiliza nyimbo zenyewe hamna kitu,mi naona anajiangaisha sana bila matunda,yaani mambo mengi anayofanya ni upuuzi tu hamna sanaa na havimpaishi kama mwanamziki.Cha kufanya Harmonize,kwanza aache obsession yake na diamond,huyu jamaa ndo kamtoa jalalani.Atafute timu ya watu watakaomsaidia kukuza na kutangaza kipaji chake,aache kiki za ivyo,aache vijembe na a focus kwenye mziki.Asitishe kusajili wanamziki wengine ajijenge yeye kwanza,yaani apunguze spidi na ajipange yeye kwanza.Akifanya ivi,labda anaweza kueleweka kama msanii huru.
Jamaa nilikiwa namkubali sana,sababu alikuwa mtu wa kujituma.Naona alikurupuka kutoka WCB,alikuwa bado hayupo tayari kusimama kama yeye.Wasafi wapo smart na ni label wenye watu makini sana ndo maana wametoa na bado wanaendelea kutoa wanamziki na nyimbo nzuri.Ukiangalia toka Diamond wa mbagala,ray van,mbosso,Harmonize wenyewe mpaka walipofika na Zucchu ni Transformation kubwa.Wasafi wanajua jinsi ya kunoa vipaji,wanawatafutia wasanii matamasha,wanawatangaza na wanajua biashara.Harmonize alifikir kipaji pekee inatosha,akasahau kuwa inabidi aji.'re introduce' kwa washabiki wake kitu ambacho hakufanya,ndo mpaka leo ukimuangalia bado ana u diamond kila anachofanya ma hii ina 'bore' sana.Kujiita tembo inaonyesha hana ubunifu,kuvaa micheni kibao,maguo mengi ya joto,mi tatoo mwili mzima,yaani ana fanya mambo kupitiliza mpaka inachefua.Ukisikiliza nyimbo zenyewe hamna kitu,mi naona anajiangaisha sana bila matunda,yaani mambo mengi anayofanya ni upuuzi tu hamna sanaa na havimpaishi kama mwanamziki.Cha kufanya Harmonize,kwanza aache obsession yake na diamond,huyu jamaa ndo kamtoa jalalani.Atafute timu ya watu watakaomsaidia kukuza na kutangaza kipaji chake,aache kiki za ivyo,aache vijembe na a focus kwenye mziki.Asitishe kusajili wanamziki wengine ajijenge yeye kwanza,yaani apunguze spidi na ajipange yeye kwanza.Akifanya ivi,labda anaweza kueleweka kama msanii huru.