What went wrong with Harmonize

IMG_20200801_150453.jpg
 
Huyu jamaa nakumbuka mwaka mmoja kabla kuondoka WCB alikuwa moto hata kuliko Diamond yan inshort nilimuona kama ndo nwanamziki bora Tanzania! Alivyoondoka WCB jamaa akaanza kuzingua sana af udhaifu wake mkubwa ni kwamba anakurupuka sana na kutaka kushindana na management yake ya zamani!! Kila siku ana sign wasanii wapya af wale wa mwanzo bado hawajafika popote! Me nilijua akitoka kule atakuwa ameondoka na maujanja ila ase anakurupuka sana,Aisee jamaa sijui anawazaga nini hivi unaanzje kusign wasanii label zaid ya wa 4 ndan ya miez tu! Af anasign wasanii wasiokuwa na maajabu!! Hao wasanii mda sio wataondoka zao! Sema jamaa tatizo kubwa ni kwamba anazungukwa na watu wasiojua mziki ndo maana
 
Mistake kubwa aliyoifanya kijana na ambayo haitajirudia ni pale alipoitwa na kayafa na kuambiwa "natamani ungekuwa mmbunge wa jimbo hili," hyo ilikuwa ni tiketi tosha ya kuchukua fomu kwenye huu uchafuzi ulioisha na angekuwa mjengoni mida hii pamoja na kina f. A
 
Punguza ujuaji...koment yako tu inaonesha hata wewe huna shuguli za kufanya.
Mkuu ishi maisha yako, wazazi probably wako wanakutegemea.

Wasanii hawana time na wewe, rafiki yao ni yule mwenye pesa na madaraka.

Kwa lugha rahisi watu maarufu wote Tanzania walishajua wabongo hamnazo na hawajielewi ndio maana wano busy na mambo yao kama CCM, endorsements.

Hata ukikutwa umeyawa kikatili Ubungo, they don't care hata atakayekemea
 
Mistake kubwa aliyoifanya kijana na ambayo haitajirudia ni pale alipoitwa na kayafa na kuambiwa "natamani ungekuwa mmbunge wa jimbo hili," hyo ilikuwa ni tiketi tosha ya kuchukua fomu kwenye huu uchafuzi ulioisha na angekuwa mjengoni mida hii pamoja na kina f. A
Kwahiyo mkuu kumbe mziki hauwalipi kama mkwanja wa ubunge... Maana utasikia napiga show wa dollar 15000 nimesaini deal la umbassador milion mia, ukipiga hesabu unaona wanaingiza mpunga mrefu
 
Kutoka Chitoholi hadi alipofikia ni hatua kubwa na ya kupongezwa, kumtarajia makubwa zaidi ya hapo ni kumpasua bichwa tu.

BTW alisema “kuna tofauti ya kuzaa na kuzaa mtoto wa kizungu, tunahesabu miezi tu”... vipi tayari huko?
 
Simwelewi huyu mwamba wa Chitoholi, 2 years before he was the fastest rising singer in bongo fleva history , alikuwa fire Sana pale WCB, kichwa chake kilikuwa kimetulia na alitoa mawe Sana , uamuzi wa kutoka WCB ulipokelewa Kwa hsia tofaut na watu , wengi tulimwelewa pia na kumtakia Kila laheri , kweli anapata support ya media kubwa and some how anafanya vizur kwenye digital platforms, hata hvyo nyuma ya pazia mambo hayapo vizur Kwa huyu mwamba wa Chitoholi.

Project zake nyingi zinafeli , uimbaj wake umeyumba Sana , tangu atoke WCB ngoma nazozikubal ni UNO na Fall in love , ..... Vijembe vimekuwa vingi , nafkr yupo under high pressure Sana , washauri pia ni wengi ambao most of them wanamtia hofu, huku anaonekana kuwa na was was kumantain the top ili kushindana na WCB ambao kimsingi wapo well organized

Amekuwa mtu wa kulalamika Sana , alituahidi mgahawa town sjui umeishia wap , alituahidi Tandahimba fm lakn nothing new , utaskia akiwa jukwaani " wanangu niwaambie kitu, mwezi ujao tunawasha redio hapa hapa nyumbani"

Tuliahdiwa tamasha kubwa sanan November 28, Jana kapost insta analalamika tuu , kwamba issue imefeli na ipo postponed sjui mpak lini....
Ibra alikuwa anatosha Sana Kwa mwaka huu , ukurupukaj wa kusign magrunet mengine yanampa pressure tuuu....
Naona asipobadilika atapotea kabisaaa

View attachment 1629658
anavimba sana ndio tatizo alafu nyimbo zake ni low quality now days
 
Atajijua mwenyewe awe kama Mavoko sawa tuu, wasanii wapo tele wa kusikiliza nyimbo, eti kumiza kichwa kisa msanii huo ujinga sinaga nyimbo ikitolewa kali hata na zuchu, amber ruty naskiliza maisha yanaenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom