mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,712
Dah H-baba kweli ni mtupu kichwaniKama wa2 waliomzunguka ndio Hawa unategemea nini?View attachment 1629776
Dah H-baba kweli ni mtupu kichwaniKama wa2 waliomzunguka ndio Hawa unategemea nini?View attachment 1629776
Alieichezea bahatiMbunge wa tandahimba
Kiingilio biaHili kama sio tamasha la bure sijui
Mkuu ishi maisha yako, wazazi probably wako wanakutegemea.
Wasanii hawana time na wewe, rafiki yao ni yule mwenye pesa na madaraka.
Kwa lugha rahisi watu maarufu wote Tanzania walishajua wabongo hamnazo na hawajielewi ndio maana wano busy na mambo yao kama CCM, endorsements.
Hata ukikutwa umeyawa kikatili Ubungo, they don't care hata atakayekemea
Kwahiyo mkuu kumbe mziki hauwalipi kama mkwanja wa ubunge... Maana utasikia napiga show wa dollar 15000 nimesaini deal la umbassador milion mia, ukipiga hesabu unaona wanaingiza mpunga mrefuMistake kubwa aliyoifanya kijana na ambayo haitajirudia ni pale alipoitwa na kayafa na kuambiwa "natamani ungekuwa mmbunge wa jimbo hili," hyo ilikuwa ni tiketi tosha ya kuchukua fomu kwenye huu uchafuzi ulioisha na angekuwa mjengoni mida hii pamoja na kina f. A
Dharau,majivuno,bifu za kijinga,skendo zisizo na mashiko.
Bifu na domo angetuachia haters na anonymous kama sie yeye angeendelea na muziki mzuri. Sasa mtu hadharani anaonyesha kukosa shukrani kwa aliyemshika mkono mpaka kujulikana.
Tulikula mara moja tu pale karume na gari likauzwa
Kwahiyo mkuu kumbe mziki hauwalipi kama mkwanja wa ubunge... Maana utasikia napiga show wa dollar 15000 nimesaini deal la umbassador milion mia, ukipiga hesabu unaona wanaingiza mpunga mrefu
Kumbe ulishaiona?Milioni mia mafi gako!
anavimba sana ndio tatizo alafu nyimbo zake ni low quality now daysSimwelewi huyu mwamba wa Chitoholi, 2 years before he was the fastest rising singer in bongo fleva history , alikuwa fire Sana pale WCB, kichwa chake kilikuwa kimetulia na alitoa mawe Sana , uamuzi wa kutoka WCB ulipokelewa Kwa hsia tofaut na watu , wengi tulimwelewa pia na kumtakia Kila laheri , kweli anapata support ya media kubwa and some how anafanya vizur kwenye digital platforms, hata hvyo nyuma ya pazia mambo hayapo vizur Kwa huyu mwamba wa Chitoholi.
Project zake nyingi zinafeli , uimbaj wake umeyumba Sana , tangu atoke WCB ngoma nazozikubal ni UNO na Fall in love , ..... Vijembe vimekuwa vingi , nafkr yupo under high pressure Sana , washauri pia ni wengi ambao most of them wanamtia hofu, huku anaonekana kuwa na was was kumantain the top ili kushindana na WCB ambao kimsingi wapo well organized
Amekuwa mtu wa kulalamika Sana , alituahidi mgahawa town sjui umeishia wap , alituahidi Tandahimba fm lakn nothing new , utaskia akiwa jukwaani " wanangu niwaambie kitu, mwezi ujao tunawasha redio hapa hapa nyumbani"
Tuliahdiwa tamasha kubwa sanan November 28, Jana kapost insta analalamika tuu , kwamba issue imefeli na ipo postponed sjui mpak lini....
Ibra alikuwa anatosha Sana Kwa mwaka huu , ukurupukaj wa kusign magrunet mengine yanampa pressure tuuu....
Naona asipobadilika atapotea kabisaaa
View attachment 1629658
Kumbe ulishaiona?
Hata mimi najiuliza maswali hayo hayo kama mziki unalipa saana kwa kiasi wanachotuaminisha kwanini wanatolea macho ubunge? Labda huenda wanatafuta status tuKazi yao kuongeza sifuri for public stunts, ubalozi uchwara wanaishia kuvalishwa nguo kwa nusu bei!
Harmonize walio mshauri walimwambia kwamba yeye ndie atakua mdhindan mkubwa wa Diamond na atamfunika Kiba na ule muamko wote anao pewa Kiba atauchukua yeye bila kusahau Kiba na mond tanzania wamesha gawa watanzania kila mmoja anawakeInasikitisha sana.