speechwriter
Senior Member
- Jul 4, 2011
- 137
- 50
Hii ilikuwa ni radio ya watu....au ndio brand saturation?
competition au nini?
je FACTS ni zipi kwenye hizi tuhuma zisizokweisha kila kukicha? na kwa nini wawe wanalalamikiwa wao kila siku wakati radio ziko nyingi tuu?
Mara wakina Kibonde sasa wasanii....mbaya zaidi siku hizi kila mmoja nayo platform ya kulalama..facebook,twitter, youtube etc
At what point did it all go wrong for clouds?
Je ni arrogance au wameshindwa ku adapt?
Hivi baada ya marehem mzee kusaga kufariki, je share zake aliwaachia wajukuu zake au joseph alimpa Ruge?
na ni radio zipi zinaweza kuchukua nafasi ya Clouds?
Wafu radio ni ya kusaga ila menejimenti yote amesimama kiwembe wa madada wa tht rugay
pale upate job hadi Ruge akugegede mi rafiki yangu ilibidi akimbie sa hivi katulia zake Radio moja ya A town
na jamaa unaambiwa ana wadudu.....
Na bado.......!watakimbia mjini hapa,kila jambo lina mwisho.Na mwisho wao ndo huu.
Wakimbie mjini kwa lipi?.Washauiri wasanii waachane na Clouds,kwasababu hawalazimishwi
Unafikir ni wasanii tu ndo wanaostahil kuachana na clouds?Hata mimi msikilizaj nimeamaa....!Labda wanakutangazia ww!Wadudu wanawanyevua......tumekwisha wamwagia VIUATILIFU!!!!!!!!!!!!
Wakimbie mjini kwa lipi?.Washauiri wasanii waachane na Clouds,kwasababu hawalazimishwi
Jiulize Njenje wamewalaumu Clouds?
Au Diamond kawalaumu Clouds?
je Ally Kiba kawalaumu Clouds?
Au Fid Q, JOH Makini na Ommy Dimpoz wamewalaumu Clouds?
Pamoja na yoote yanayosemwa, kuna ambayo naungana na baadhi ya wahanga waliowahi kukandamizwa na Clouds.
Ni kweli Clouds wana mapungufu yao tena ni makubwa mno, lakini kuna baadhi ya wadau wa Muziki wamefika tamati na sasa Nanga inashuka so wameamua kutafuta suport ya wazalendo.
Unafikir ni wasanii tu ndo wanaostahil kuachana na clouds?Hata mimi msikilizaj nimeamaa....!Labda wanakutangazia ww!Wadudu wanawanyevua......tumekwisha wamwagia VIUATILIFU!!!!!!!!!!!!
Ni kweli Clouds wana mapungufu yao tena ni makubwa mno, lakini kuna baadhi ya wadau wa Muziki wamefika tamati na sasa Nanga inashuka so wameamua kutafuta suport ya wazalendo.
Jiulize Njenje wamewalaumu Clouds?
Au Diamond kawalaumu Clouds?
je Ally Kiba kawalaumu Clouds?
Au Fid Q, JOH Makini na Ommy Dimpoz wamewalaumu Clouds?
Pamoja na yoote yanayosemwa, kuna ambayo naungana na baadhi ya wahanga waliowahi kukandamizwa na Clouds.
Ni kweli Clouds wana mapungufu yao tena ni makubwa mno, lakini kuna baadhi ya wadau wa Muziki wamefika tamati na sasa Nanga inashuka so wameamua kutafuta suport ya wazalendo.