WHAT THE HEART THINKETH THE MOUTH SPEAKETH

Baba Adele

JF-Expert Member
Mar 21, 2017
208
229
KAULI ZA MKUU ZINA WALAAKINI
Waungwana matamshi ni katika maeneo ambayo yanaweza kukufanya msikilizaji kutambua mtoa matamshi mtu wa aina gani

Waingereza wana kamsemo kao kua "some people appear smart until they speak" bila shaka kwa msemo huu inatosha kuamini matamshi ya mtu yanaweza kukupa picha huyo mtu ni wa aina gani.

Nikirudi kwenye mada niliokusudia,nimejaribu kuangalia kauli za kiongozi wetu wa nchi zinanipa shida sana juu ya kauli na matendo yanayoendelea kiasi kupata hofu kua ana maanisha na sivinginevyo.

Kauli hatari mfano wote tunakumbuka wakati wa mchakato wa kuteua mgombe wa ccm pale dodoma, baada ya kamati kupitisha jina la mkuu wa sasa,ilionekana baadhi ya wanachama kutoridhishwa na walionesha hisia zao km demokrasia inavyo waruhusu. Katika kupinga uteuzi ule wanachama wengi akiwemo SOFIA SIMBA, EMANUEL NCHIMBI na wengine wengi sana walikua wanaimba na kupiga makofi kua wana imani na LOWASA. tukio hili lilishudiwa na mwenyekit wakat ule Dk Kikwete, cha kufurahisha kikweye alipoona watu wanaimba wana imani na Lowasa nae alijiunha nao kwa kupiga makofi huku aki smile.

Cha ajabu mkuu wa sasa alipopewa nafasi ya kushukuru wanachama pale dodoma alitamka neno hili. " naomna mungu anipe japo robo ya busara zako mzee kikwete maana watu wanaimba kukupinga mbele yako ningekua mm wote wangenitambua"

Kauli hatari za mkuu pia zilisikaka wakati ameshaapishwa na kuanza kazi. Pale kituo cha polisi bila sha ni Boko kilipovamiwa na wananchi na kuchomwa moto. Mkuu aliaikika akisema. "Askari mnachomewa kituo na hakuna hata raia alie lala? Akimaanisha alipigwa risasi. Ilitakiwa walale hata km kuna ndugu yangu ningekuja nikamwambia lala salama"

Wakati wa tetemeko Kagera mkuu alitamka "serikali haijaleta tetemeko, au tuliomba kura kuleta tetemeko? Ikumbukwe kauli ilitolewa wkt watu wapo kwenye huzuni,,majonzi na simanzi ya kupoteza ndugu na mali zao.

Mkuu baada ya tukio la askofu Gwajima wafuasi wake kwenda central alisikika akimuonya IGP na kisema "I WISH I COULD BE IGP

Mkuu baada ya watanzania kuchukizwa na mambo ya uvunjwaji wa sheria yanayoganuwa na mkuu wa mkoa Makonda. Sauti kupazwa kua atengue uteuzi wake. Alisikika akisema SIPANGIWI, NA UKIJARIBU KUNIPANGIE UMEKWENDAA. MAKONDA PIGA KAZI

Lakin.maajabu mengine ya kauli mbaya za mkuu ni pale alipokua akiwaapisha wakina MWAKYEMBE na wengine aliposikikaa akiwaambia waandishi wa habari kua HAMKO HURU KIASI HICHO.
kisa kutoipa msukumo habari ya makontena na kuipa msukumo Habari ya NAPE.

Lakin pia ikumbukwe mkuu wakt ni waziri wa ujenzi aliwaambia ndugu zetu wa kigamboni kua km huna hela piga Mbizi.

Wakati wa sakata la dawa za kulevya pia mkuu alisikika akiwakataza mabalozi wtu nje kutowaaymbelea watuhumiwa wa dawa za kulevya na km wamehujumiwaaa kunyongwa wawanyonge tu.

Kwa haya na mengine mengi yamenifanya nione kuna shida kubwa kwa mkuu wetu wa nchi. Hivyo ikiwa mkuu km alivyodai jana kua anapitia post Zetu na anajua tunayojadili basi afahamu kua katika mambo yanayotuvunja moyo watanzania ni pamoja na KAULI MBAYA KUTOKA KTK KINYWA CHA RAISI WETU.
 
KAULI ZA MKUU ZINA WALAAKINI
Waungwana matamshi ni katika maeneo ambayo yanaweza kukufanya msikilizaji kutambua mtoa matamshi mtu wa aina gani

Waingereza wana kamsemo kao kua "some people appear smart until they speak" bila shaka kwa msemo huu inatosha kuamini matamshi ya mtu yanaweza kukupa picha huyo mtu ni wa aina gani.

Nikirudi kwenye mada niliokusudia,nimejaribu kuangalia kauli za kiongozi wetu wa nchi zinanipa shida sana juu ya kauli na matendo yanayoendelea kiasi kupata hofu kua ana maanisha na sivinginevyo.

Kauli hatari mfano wote tunakumbuka wakati wa mchakato wa kuteua mgombe wa ccm pale dodoma, baada ya kamati kupitisha jina la mkuu wa sasa,ilionekana baadhi ya wanachama kutoridhishwa na walionesha hisia zao km demokrasia inavyo waruhusu. Katika kupinga uteuzi ule wanachama wengi akiwemo SOFIA SIMBA, EMANUEL NCHIMBI na wengine wengi sana walikua wanaimba na kupiga makofi kua wana imani na LOWASA. tukio hili lilishudiwa na mwenyekit wakat ule Dk Kikwete, cha kufurahisha kikweye alipoona watu wanaimba wana imani na Lowasa nae alijiunha nao kwa kupiga makofi huku aki smile.

Cha ajabu mkuu wa sasa alipopewa nafasi ya kushukuru wanachama pale dodoma alitamka neno hili. " naomna mungu anipe japo robo ya busara zako mzee kikwete maana watu wanaimba kukupinga mbele yako ningekua mm wote wangenitambua"

Kauli hatari za mkuu pia zilisikaka wakati ameshaapishwa na kuanza kazi. Pale kituo cha polisi bila sha ni Boko kilipovamiwa na wananchi na kuchomwa moto. Mkuu aliaikika akisema. "Askari mnachomewa kituo na hakuna hata raia alie lala? Akimaanisha alipigwa risasi. Ilitakiwa walale hata km kuna ndugu yangu ningekuja nikamwambia lala salama"

Wakati wa tetemeko Kagera mkuu alitamka "serikali haijaleta tetemeko, au tuliomba kura kuleta tetemeko? Ikumbukwe kauli ilitolewa wkt watu wapo kwenye huzuni,,majonzi na simanzi ya kupoteza ndugu na mali zao.

Mkuu baada ya tukio la askofu Gwajima wafuasi wake kwenda central alisikika akimuonya IGP na kisema "I WISH I COULD BE IGP

Mkuu baada ya watanzania kuchukizwa na mambo ya uvunjwaji wa sheria yanayoganuwa na mkuu wa mkoa Makonda. Sauti kupazwa kua atengue uteuzi wake. Alisikika akisema SIPANGIWI, NA UKIJARIBU KUNIPANGIE UMEKWENDAA. MAKONDA PIGA KAZI

Lakin.maajabu mengine ya kauli mbaya za mkuu ni pale alipokua akiwaapisha wakina MWAKYEMBE na wengine aliposikikaa akiwaambia waandishi wa habari kua HAMKO HURU KIASI HICHO.
kisa kutoipa msukumo habari ya makontena na kuipa msukumo Habari ya NAPE.

Lakin pia ikumbukwe mkuu wakt ni waziri wa ujenzi aliwaambia ndugu zetu wa kigamboni kua km huna hela piga Mbizi.

Wakati wa sakata la dawa za kulevya pia mkuu alisikika akiwakataza mabalozi wtu nje kutowaaymbelea watuhumiwa wa dawa za kulevya na km wamehujumiwaaa kunyongwa wawanyonge tu.

Kwa haya na mengine mengi yamenifanya nione kuna shida kubwa kwa mkuu wetu wa nchi. Hivyo ikiwa mkuu km alivyodai jana kua anapitia post Zetu na anajua tunayojadili basi afahamu kua katika mambo yanayotuvunja moyo watanzania ni pamoja na KAULI MBAYA KUTOKA KTK KINYWA CHA RAISI WETU.
Nimekupa pongezi kwa maneno yako dhahiri.kweli mkuu wetu ana roho mbaya .najaribu kutafuta ukweli kuona je nyumbani kwake anaupendo kwenye familia yake pia?
 
Nimekupa pongezi kwa maneno yako dhahiri.kweli mkuu wetu ana roho mbaya .najaribu kutafuta ukweli kuona je nyumbani kwake anaupendo kwenye familia yake pia?
Asante mkuu, huyu mtu ana roho kakatima ila sisi tunachukulia poa, hata utu wala hana hofu ya mungu ni mnafiki
 
KAULI ZA MKUU ZINA WALAAKINI
Waungwana matamshi ni katika maeneo ambayo yanaweza kukufanya msikilizaji kutambua mtoa matamshi mtu wa aina gani

Waingereza wana kamsemo kao kua "some people appear smart until they speak" bila shaka kwa msemo huu inatosha kuamini matamshi ya mtu yanaweza kukupa picha huyo mtu ni wa aina gani.

Nikirudi kwenye mada niliokusudia,nimejaribu kuangalia kauli za kiongozi wetu wa nchi zinanipa shida sana juu ya kauli na matendo yanayoendelea kiasi kupata hofu kua ana maanisha na sivinginevyo.

Kauli hatari mfano wote tunakumbuka wakati wa mchakato wa kuteua mgombe wa ccm pale dodoma, baada ya kamati kupitisha jina la mkuu wa sasa,ilionekana baadhi ya wanachama kutoridhishwa na walionesha hisia zao km demokrasia inavyo waruhusu. Katika kupinga uteuzi ule wanachama wengi akiwemo SOFIA SIMBA, EMANUEL NCHIMBI na wengine wengi sana walikua wanaimba na kupiga makofi kua wana imani na LOWASA. tukio hili lilishudiwa na mwenyekit wakat ule Dk Kikwete, cha kufurahisha kikweye alipoona watu wanaimba wana imani na Lowasa nae alijiunha nao kwa kupiga makofi huku aki smile.

Cha ajabu mkuu wa sasa alipopewa nafasi ya kushukuru wanachama pale dodoma alitamka neno hili. " naomna mungu anipe japo robo ya busara zako mzee kikwete maana watu wanaimba kukupinga mbele yako ningekua mm wote wangenitambua"

Kauli hatari za mkuu pia zilisikaka wakati ameshaapishwa na kuanza kazi. Pale kituo cha polisi bila sha ni Boko kilipovamiwa na wananchi na kuchomwa moto. Mkuu aliaikika akisema. "Askari mnachomewa kituo na hakuna hata raia alie lala? Akimaanisha alipigwa risasi. Ilitakiwa walale hata km kuna ndugu yangu ningekuja nikamwambia lala salama"

Wakati wa tetemeko Kagera mkuu alitamka "serikali haijaleta tetemeko, au tuliomba kura kuleta tetemeko? Ikumbukwe kauli ilitolewa wkt watu wapo kwenye huzuni,,majonzi na simanzi ya kupoteza ndugu na mali zao.

Mkuu baada ya tukio la askofu Gwajima wafuasi wake kwenda central alisikika akimuonya IGP na kisema "I WISH I COULD BE IGP

Mkuu baada ya watanzania kuchukizwa na mambo ya uvunjwaji wa sheria yanayoganuwa na mkuu wa mkoa Makonda. Sauti kupazwa kua atengue uteuzi wake. Alisikika akisema SIPANGIWI, NA UKIJARIBU KUNIPANGIE UMEKWENDAA. MAKONDA PIGA KAZI

Lakin.maajabu mengine ya kauli mbaya za mkuu ni pale alipokua akiwaapisha wakina MWAKYEMBE na wengine aliposikikaa akiwaambia waandishi wa habari kua HAMKO HURU KIASI HICHO.
kisa kutoipa msukumo habari ya makontena na kuipa msukumo Habari ya NAPE.

Lakin pia ikumbukwe mkuu wakt ni waziri wa ujenzi aliwaambia ndugu zetu wa kigamboni kua km huna hela piga Mbizi.

Wakati wa sakata la dawa za kulevya pia mkuu alisikika akiwakataza mabalozi wtu nje kutowaaymbelea watuhumiwa wa dawa za kulevya na km wamehujumiwaaa kunyongwa wawanyonge tu.

Kwa haya na mengine mengi yamenifanya nione kuna shida kubwa kwa mkuu wetu wa nchi. Hivyo ikiwa mkuu km alivyodai jana kua anapitia post Zetu na anajua tunayojadili basi afahamu kua katika mambo yanayotuvunja moyo watanzania ni pamoja na KAULI MBAYA KUTOKA KTK KINYWA CHA RAISI WETU.
unataka kubembelezwa?
 
Hapo ndipo upeo wako ulipofikia sikulaumu
mimi nimekuuliza swali! kwa mfano hao wa madawa ya kulevya wanafahamu kabisa kwamba kuuza madawa ya kulevya is strictly prohibited na nchi nyingi drugs is forbidden lakini wao bado wanabeba drugs. sasa hawa ni wa kuwabembeleza?
 
mimi nimekuuliza swali! kwa mfano hao wa madawa ya kulevya wanafahamu kabisa kwamba kuuza madawa ya kulevya is strictly prohibited na nchi nyingi drugs is forbidden lakini wao bado wanabeba drugs. sasa hawa ni wa kuwabembeleza?
Vizuri, kawaida raia wako anapopata matatizo ikiwemo uhalifu ktk nchi nyingine km mataifa mengine yanavyofanya lazma kufuatilia na kujua undani wa kesi zao na km kuna msaada wa kisheria, mawasiliano namenhine basi hupewa mtu huyu na balozi wa nchi yake. Si kila aliekamatwa na dawa za kulevya ana hatia. Zipo kesi mfano bint wa ki tanzania anaeishi Oman alikamatwa misri na unga lakim bag halikua la kwakena hakujua kua amebeba unga. Kwahiyo masuala ya kesi za unga au nyingine kuna mambo mengi abyo mtuhumiwa anaweza akawa anahitaji msaada kutoka ktk nchi yake na akafanikiwa km kukata rufaa kupunguziwa adhabu na mengine mengi. Hata km amehukumiwa kunyongwa au kifungo cha maisha bado ana haki za msingi. Hivyo nchi za wezetu huonesha uzalendo kwa watu wake wanapokutwa na matatizo hata km wahalifu na hii ndio desturi ya nchi inayojali raia wake. Sasa Raisi anaposema wanyongwe tu je sheria zetu tunanyonga wahusika wa dawa za kulevya. Je serikali imjiridhisha kua hao waliokamatwa kweli wana hatia?
 
Back
Top Bottom