What story dont you like to hear from Men?

sipendi wanaume wanaotafuNa tafuna ovyoo
Sipendi wanaume wanaotukana ovyo (kwenye gari,daladala,bar etc)
Sipendi jamaume lizima linamuita mtoto mdogo mchumba
Sipendi wanaume yuko na mwanamke,dadake,mamake,kwenye gari mijicho yooote nje anaangalia mwanamke mwingine
Sipendi papaaaaa!
Sipendi mwanaumekutwa kuchwa mihasira tu isiyo na msingi au ukali kupitiliza
Sipendi mwanaume mwenye tambi kuuuubwa,kitambi kiwe japo kidogo cha kishkaji,sio kile cha mimba yangu na tambi lake mmmmh tofauti zero

WILL BE BACK WITH MO SIPENDIIIIIIIIIII,COZ SIPENDI ZOTE HIZI,NA MM NAJITAHIDI NISIWE NA HAYO MASIPENDI ILI TUWE LEVO.
eeeeeeenhe endelea,nakusikiliza.......
 
sipendi wanaume wanaotafuNa tafuna ovyoo
Sipendi wanaume wanaotukana ovyo (kwenye gari,daladala,bar etc)
Sipendi jamaume lizima linamuita mtoto mdogo mchumba
Sipendi wanaume yuko na mwanamke,dadake,mamake,kwenye gari mijicho yooote nje anaangalia mwanamke mwingine
Sipendi papaaaaa!
Sipendi mwanaumekutwa kuchwa mihasira tu isiyo na msingi au ukali kupitiliza
Sipendi mwanaume mwenye tambi kuuuubwa,kitambi kiwe japo kidogo cha kishkaji,sio kile cha mimba yangu na tambi lake mmmmh tofauti zero

WILL BE BACK WITH MO SIPENDIIIIIIIIIII,COZ SIPENDI ZOTE HIZI,NA MM NAJITAHIDI NISIWE NA HAYO MASIPENDI ILI TUWE LEVO.
Hahahaha weee mama kayayiii unatafuta ugomvi na wenye vitambi ngoja waje hapa lol
 
Nimesema tambi cha kishkaji pouwa so jitambi aku na mm mtoto wa watu eeeh?ata wakija kama muhusika wangu ntamwambia sipendi na kama ananipenda kweli basi atafanyia kazi ushauri itakuwa vizuri zaidi ila
Sipendi mwanaume asiekubali kushaurika na kukubali mapungufu yake.
Hahahaha weee mama kayayiii unatafuta ugomvi na wenye vitambi ngoja waje hapa lol
 
Nimesema tambi cha kishkaji pouwa so jitambi aku na mm mtoto wa watu eeeh?ata wakija kama muhusika wangu ntamwambia sipendi na kama ananipenda kweli basi atafanyia kazi ushauri itakuwa vizuri zaidi ila
Sipendi mwanaume asiekubali kushaurika na kukubali mapungufu yake.
Kama kile cha mwenye kwashakoo au kama kile cha mwenye utapia mlo sio mbaya
 
Dina;Si angeenda kwa huyo Rose? Hii inakera haswa!

Bado yule ambaye kila mnachoongea akamuulize mama yake! Kiasi kwamba ukishauri kitu utasikia, 'ngoja ntacheki na mama'.Hapa nachoka kabisa. Akina baba, trust me, hii biashara ndio mnafanya gap kati ya wake zenu na mama zenu linakuwa kubwa kila kukicha.

Huyo ni mmuo tu ndo ana tabia za hivyo za kuuliza mama yake. Umeona ni wanaume wangapi wanaenda kuuliza/kuomba ushauri kwa mama zao? Sijawai kusikia jambo kama hilo zaidi ya kusikia kutoka kwako. Huyo wako ni wa pekee kwa hiyo tabia.
 
Si angeenda kwa huyo Rose? Hii inakera haswa!

Bado yule ambaye kila mnachoongea akamuulize mama yake! Kiasi kwamba ukishauri kitu utasikia, 'ngoja ntacheki na mama'.Hapa nachoka kabisa. Akina baba, trust me, hii biashara ndio mnafanya gap kati ya wake zenu na mama zenu linakuwa kubwa kila kukicha.


Dina hii ni kiboko ya zote........

yaani akacheki na mama....

huyu itakuwa hajala kile kiapo...."UTAACHANA NA MAMA YAKO NA BABA YAKO NAWE UTAAMBATANA NA MKEO NANYI MTAKUWA MWILI MMOJA
"
 
sipendi wanaume wanaotafuNa tafuna ovyoo
Sipendi wanaume wanaotukana ovyo (kwenye gari,daladala,bar etc)
Sipendi jamaume lizima linamuita mtoto mdogo mchumba
Sipendi wanaume yuko na mwanamke,dadake,mamake,kwenye gari mijicho yooote nje anaangalia mwanamke mwingine
Sipendi papaaaaa!
Sipendi mwanaumekutwa kuchwa mihasira tu isiyo na msingi au ukali kupitiliza
Sipendi mwanaume mwenye tambi kuuuubwa,kitambi kiwe japo kidogo cha kishkaji,sio kile cha mimba yangu na tambi lake mmmmh tofauti zero

WILL BE BACK WITH MO SIPENDIIIIIIIIIII,COZ SIPENDI ZOTE HIZI,NA MM NAJITAHIDI NISIWE NA HAYO MASIPENDI ILI TUWE LEVO.


Pearl, Pearl, Peeeeeeaaaaaarllllllll.......................Watch out......hahahaaaaa

Haya Bwana tumekusikia......hatutatafuna tena mabigijii na bazoka kwenye gari kama vile tunatafuna mipira ya manati
 
Sipendi mwanaume/mwanamke anaetupa uchafu barabarani
Sipendi mwanaume kutwa anashinda bar
Sipendi mwanaume Bar watu wanajichana hme watoto full dagaa tembele daily
CMING BACK SOON


Pearl, Pearl, Peeeeeeaaaaaarllllllll.......................Watch out......hahahaaaaa

Haya Bwana tumekusikia......hatutatafuna tena mabigijii na bazoka kwenye gari kama vile tunatafuna mipira ya manati
 
1. Sipendi mwanaume mwenye kujisifia
2. sipendi mwanaume anayeongea kama cherehani ..
3. Sipendi mwanaume ambaye maongezi mengi ni kudharau wanawake
4.Sipendi mwanaume anayekonyeza konyeza ovyo utadhani anaumwa macho
5.sipendi mwanaume anayenuka mdomo ..hapendi kupiga mswaki
6.Sipendi mwanaume anayenuka kikwapa
7.Sipendi mwanaume mvivu
8.Sipendi mwanaume anyelalamika ovyo badala ya kufight
9.Sipendi mwanaume kila ukikutana nae yeye ni matatizo tu hana hata siku moja ya furaha
10.sipendi sipendi sipendi
 
Sipendi mwanaume/mwanamke anaetupa uchafu barabarani
Sipendi mwanaume kutwa anashinda bar
Sipendi mwanaume Bar watu wanajichana hme watoto full dagaa tembele daily
CMING BACK SOON
Sipendi mwanamke ambaye yeye kila wakati yeye yuko na mashosti zake lol
 
1. Sipendi mwanaume mwenye kujisifia
2. sipendi mwanaume anayeongea kama cherehani ..
3. Sipendi mwanaume ambaye maongezi mengi ni kudharau wanawake
4.Sipendi mwanaume anayekonyeza konyeza ovyo utadhani anaumwa macho
5.sipendi mwanaume anayenuka mdomo ..hapendi kupiga mswaki
6.Sipendi mwanaume anayenuka kikwapa
7.Sipendi mwanaume mvivu
8.Sipendi mwanaume anyelalamika ovyo badala ya kufight
9.Sipendi mwanaume kila ukikutana nae yeye ni matatizo tu hana hata siku moja ya furaha
10.sipendi sipendi sipendi
Dah!! Hivi leo nimepiga mswaki kweli
 
1. Sipendi mwanaume mwenye kujisifia
2. sipendi mwanaume anayeongea kama cherehani ..
3. Sipendi mwanaume ambaye maongezi mengi ni kudharau wanawake
4.Sipendi mwanaume anayekonyeza konyeza ovyo utadhani anaumwa macho
5.sipendi mwanaume anayenuka mdomo ..hapendi kupiga mswaki
6.Sipendi mwanaume anayenuka kikwapa
7.Sipendi mwanaume mvivu
8.Sipendi mwanaume anyelalamika ovyo badala ya kufight

9.Sipendi mwanaume kila ukikutana nae yeye ni matatizo tu hana hata siku moja ya furaha
10.sipendi sipendi sipendi


Correction pleaze ...... hapa kwenye red huyo sio "MWANAUME", huyo ni "WA KIUME"....hahaaaaaa, lol!!
 
mi sipendi mwanaume mwenye stori za kujisifia au mwanaume mwenye masifa, napenda mwanaume mwenye kujua majukumu yake kwangu ila asinichunge
 
mi sipendi mwanaume mwenye stori za kujisifia au mwanaume mwenye masifa, napenda mwanaume mwenye kujua majukumu yake kwangu ila asinichunge


Mwe hivi kumbe haya majisifa yetu tunayojua mtayapenda kumbe hamna kitu........mmhh......
 
sipendi kusikia mwanaume anajisifia anajua game halafu mkikutana kazi kupakana majasho na kuhemeana hana lolote la ziada
 
Kuna maneno mengi sana as well as many themes... Na hii naizungumzia kwa wanaume woote wanao husika. Sipendi naneno au themes zinazohusiana na wanawake zikiwa na lengo za kukejeli, dhihaki, dharau uwezo na uwelewa wa mwanamke... Wanaume wakae wakijua nchi yetu hii ni nchi ya mfumo dume toka ilianza mpaka ilipo. Ni juzi tu wanawake wameanza kujitambua na kujihusisha katika mambo ya jamii - na ni wachache saana wameweza fanikiwa hilo. Hivyo basi anatokea mwanaume mwenye uelewa na asiye na uelewa na kunza kumdharau mwanamke kwa matendo na maneno wakisahau kua hizo confidence na positions ni mama zao waliwezesha; na pia kusahau kua dada zao bado wanasafari ndefu mpaka woote wapate uelewa na kujitambua....

Hii statement ya akili ya wanawake bwana!.... Hata niwe wapi, hata uwe na wadhifa gan, hata kama siruhusiwi kukohoa - I dont leave that room mpaka nikupashe na ni defend uwepo wetu wamama...

beijing conference..
 
Back
Top Bottom