Aizat
Senior Member
- Oct 4, 2025
- 122
- 300
Its you, between your thighswho is this?
Its you, between your thighswho is this?
Basi mimi na konokono tunaenda sambamba 😅one time ntakupeleka kwenye mashindano ya kulala kule Olympic,
konokono tu ndio anaweza kulala miaka 3 bila kuamka.
Lonely...na nani Chica?😅
Mwanangu siku ntakutafuta unipe setup za hizo game, sijajua minimum pc yangu iwe na specification zipiHizi zote hapa
View attachment 3574898
Football ⚽️.
Short drive nje ya mji +music + trusted friends hasa weekend, tukila na kunywa na kupanga mipango ya kusaka hela.
Nikiwaga home, majira ya kiangazi, huwa napenda kwenda jioni kuwinda bata maji/ducks kwa bunduki. Najificha kusubiri makundi ya bata yaje kwenye mabwawa, yakitaka kutua nayafyatulia risasi za vuguvugu. Huwa nafurahia sana shughuli hiyo, niliyofundishwa na mshua wangu, huwa napata kitoweo safi, huku nikiburudika sana moyoni, ni vile tuu sipo home. 😎
iwe usiku lakiniMvua ikinyesha binafsi najisikia raha mno
Hamna ile dawa cc Seranshida bange inakufanya unaduwa shangaa vitu ambavyo havipo😂😂
Sijaachiwa kijiti Na yeyote yule.Cc dronedrake kakuachia kijiti unafanya vyema mpaka yeye founder haamini macho yake
Hapo ndo patamuInyeshe bonge la mvua ,halafu uwe kwenye mazingira tulivu,kitanda kimetandikwa kikanyooka vizuri na blanket kubwaaa🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
We naye mpenzi unatoa wapi?Story na mpenzi wangu nimpendaye kwa moyo wangu wote, akili zangu zote na hela zangu zote
dah ! umenikatia tamaaaa kiais hikii 😆😆😆We naye mpenzi unatoa wapi?
😀😀😀iwe usiku lakini
Hapo kama Mimi tatizo wewe mapombe tu hapo ndipo tupo tofauti kwenye stareheKutazama mandhari asilia , milima ,mabonde , vijito vya maji ,maporomoko ya maji, mbuga za wanyama , uwanda wa nyika , ni kati ya starehe yangu kubwa maishani , sijali kupoteza kiasi fulani cha pesa ,kujipa starehe hizo.
Pombe kwangu ni kinywaji kama kilivyo maji tu mkuu, nikiwa kwenye kufurahia uzuri wa dunia lazima nile pombe bwasheeHapo kama Mimi tatizo wewe mapombe tu hapo ndipo tupo tofauti kwenye starehe
Kwa life style hii wewe utakuja kuoa kwa mbinde sanaza kushoto PC Games
za kulia achana nazo
We wakishua eeh, Unajua hata kuwinda kwa bunduki ?
Au wewe ndo abduli mapesa mwenyewe?
Too bad asee!Lonely