min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 51,638
- 144,644
IndeedNature
IndeedNature
Hiz ni niHizi zote hapa
View attachment 3574898
Mbususu enthusiast
Kuna ile harufu ya ardhi pale mvua inapoanza kunyesha,amazing sana.Miaka ya 90 mvua ilikua ikinyesha ikikata anga linabaki la kupendeza sana , sauti za ndege na makundi mbali mbali ya vipepo yalikua yanaruka na kupendezesha mandhari ya uso dunia kwa mfano wa kipekee sana, sijui siku hizi ile hali kwa nini imetoweka🤔
Ama kweli muda umeniacha nyuma au mimi ndio nimeucha muda nyuma,Hizi zote hapa
View attachment 3574898
Kabisa miaka ya nyuma kuna namna dunia ilikua na muonekano wa HD zaidi kuliko sasa, dunia ilikua inamwonekano wa kuvutia na harufu za kupendeza sanaKuna ile harufu ya ardhi pale mvua inapoanza kunyesha,amazing sana.
za kushoto PC GamesAma kweli muda umeniacha nyuma au mimi ndio nimeucha muda nyuma,
Hata sijaelewa hizi ndio nini!
za kushoto ni PC games , za kulia ni LNB connectors za madishiHiz ni ni
Mbona kasema gamesWe hatari aise mkeka wa kwanza nimeona unaporn zaidi ya 100+
Kabisahio balance nasikia ikikosekana money hio ya kwanza orgasim haihappen kuna ukweli ndani yake?
Dunia bado ina muonekano huo, na miguso hiyo kaka kama siku ya leo ,nilipo kuna matindinga/swamps .. na maji baridi yanatiririka hadi kwenye makazi ,asubuhi na mapema Push ups 200 ,squats hundred, sit ups 100 , kisha nikavua viatu kuelekea huko kwenye swamps , that mother earth embrace was soothing and relaxing, na simu nimeacha home , the whole way up there Watu wananishangaa. Birds chirping, Wanyama wadogo wadogo wananishangaa wengine wakishtuka.. like hatujawahi something like this .. kama vile wametembelea na mgeni . Flowers , trees , shrubs and bushes man man ...au uende Mbeya huko , Usafwani .. utengule,Milimani ..man manKabisa miaka ya nyuma kuna namna dunia ilikua na muonekano wa HD zaidi kuliko sasa, dunia ilikua inamwonekano wa kuvutia na harufu za kupendeza sana
Tueleze japo kwa uchacheVipo vingi