What makes you happy?

What makes you happy?

Dunia bado ina muonekano huo, na miguso hiyo kaka kama siku ya leo ,nilipo kuna matindinga/swamps .. na maji baridi yanatiririka hadi kwenye makazi ,asubuhi na mapema Push ups 200 ,squats hundred, sit ups 100 , kisha nikavua viatu kuelekea huko kwenye swamps , that mother earth embrace was soothing and relaxing, na simu nimeacha home , the whole way up there Watu wananishangaa. Birds chirping, Wanyama wadogo wadogo wananishangaa wengine wakishtuka.. like hatujawahi something like this .. kama vile wametembelea na mgeni . Flowers , trees , shrubs and bushes man man ...au uende Mbeya huko , Usafwani .. utengule,Milimani ..man man
Ni wapi huko
 
Football ⚽️.

Short drive nje ya mji +music + trusted friends hasa weekend, tukila na kunywa na kupanga mipango ya kusaka hela.

Nikiwaga home, majira ya kiangazi, huwa napenda kwenda jioni kuwinda bata maji/ducks kwa bunduki. Najificha kusubiri makundi ya bata yaje kwenye mabwawa, yakitaka kutua nayafyatulia risasi za vuguvugu. Huwa nafurahia sana shughuli hiyo, niliyofundishwa na mshua wangu, huwa napata kitoweo safi, huku nikiburudika sana moyoni, ni vile tuu sipo home. 😎
 
Dunia bado ina muonekano huo, na miguso hiyo kaka kama siku ya leo ,nilipo kuna matindinga/swamps .. na maji baridi yanatiririka hadi kwenye makazi ,asubuhi na mapema Push ups 200 ,squats hundred, sit ups 100 , kisha nikavua viatu kuelekea huko kwenye swamps , that mother earth embrace was soothing and relaxing, na simu nimeacha home , the whole way up there Watu wananishangaa. Birds chirping, Wanyama wadogo wadogo wananishangaa wengine wakishtuka.. like hatujawahi something like this .. kama vile wametembelea na mgeni . Flowers , trees , shrubs and bushes man man ...au uende Mbeya huko , Usafwani .. utengule,Milimani ..man man
Ni kweli mkuu, ila kuna kanamna miaka ya yupo kulikua HD zaidi hata anga lilikua la kupendeza sana
 
Kusafr, kutizama mazingira asilia,

Mpk sasa mzee wa mitungi hajasema kitu daah cc min -me
Screenshot_20260311-192803~2.jpg
 
😀 hao Bata unakuwa unatarget sehemu gani hasa...maana ukitumia 16 calliba si utaokota utumbo tu

Zipo bunduki na risasi zake maalum kwa ajili ya ndege na wanyama wadogo wadogo, kama waterfowl, vipanga, storks n.k, sungura, hata digidigi ukimchapa vizuri. 😁
Ukifika kwa muuza silaha mtaalamu kama, Tanganyika Arms Limited, atakuuliza unataka bunduki kwa matumizi gani?
Ukimwambia matumizi yako, atautapewa bunduki na risasi maalum kwa ajili ya kitu unacholenga. Watakufanyia recommendation na customisation.

12-gauge ndio specific kwa teal or smaller, closer range-hunting.

Mfano BROWNING MAXUS II VINTAGE, semi-auto trigger, unaitumia kwa wanyama na ndege kama hao.
 
Zipo bunduki na risasi zake maalum kwa ajili ya ndege na wanyama wadogo wadogo, kama waterfowl, vipanga, storks n.k, sungura, hata digidigi ukimchapa vizuri. 😁
Ukifika kwa muuza silaha mtaalamu kama, Tanganyika Arms Limited, atakuuliza unataka bunduki kwa matumizi gani?
Ukimwambia matumizi yako, atautapewa bunduki na risasi maalum kwa ajili ya kitu unacholenga. Watakufanyia recommendation na customisation.

12-gauge ndio specific kwa teal or smaller, closer range-hunting.

Mshua wangu katika kabati lake la mikwaju, ipo BROWNING MAXUS II VINTAGE, 15.2 ozs, semi-auto trigger.
Hii ni maalum kwa kazi hiyo ya tudude tudogo tudogo. 😁
🔥🔥
 
Football ⚽️.

Short drive nje ya mji +music + trusted friends hasa weekend, tukila na kunywa na kupanga mipango ya kusaka hela.

Nikiwaga home, majira ya kiangazi, huwa napenda kwenda jioni kuwinda bata maji/ducks kwa bunduki. Najificha kusubiri makundi ya bata yaje kwenye mabwawa, yakitaka kutua nayafyatulia risasi za vuguvugu. Huwa nafurahia sana shughuli hiyo, niliyofundishwa na mshua wangu, huwa napata kitoweo safi, huku nikiburudika sana moyoni, ni vile tuu sipo home. 😎
Jamani
Nyie watu mnaishi wapi ni hapa hapa tanzania?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom