What makes aircrafts fly?

Kuna nadharia mbili zinagongana ktk maelezo ya kwa nini ndege inapaa. Lakini ni kwamba ndege inapofikisha vigezo fulani inahama kutoka Law of gravity na kuwa ina obey the Law of aerodynamics. Ndio maana mambo angani yakienda ndivyo sivyo inarudi ku obey the Law of gravity....inashuka chini na ajali inatokea!

kweli kabisa sasa nimesoma soma nimeona kuwa ndege ikiwa juu injini moja ikipata tatizo inaweza isiwe isssue lakini bawa la ndege likipata hitilafu kubwa basi ndege itashuka au kudondoka .Je ni kusema hizi commericial aircraft balance au centre of gravity yake inategemea zaidi mabawa ?

Redsilverdog said:
hebu imagine babu zetu elimu ya sayansi ilivyokuwa ya juu! wameanza kuruka tangu enzi izo hizooo, tena na ungo tu!

Hahahhaa umenifanya nicheke sana hivi kwa nini hakuna formal researches katika area hii maana hiii ya sayansi ya kijadi . imekuwa theory zake ziko gizani kwa karne nyingi. Wataalam wa social science kwanini wasivalie njuga

teh teh teh
 
Badala ya kujiuliza Ungo unaruka vipi nyinyi mnauliza ndege inaruka vipi?

si ndio maana kuna zomba ,mtazamaji ,yule wao na wale. tuko tofauti sio vibaya wewe umejiuliza hilo swali unaweza kufungua thread.

Dunia hii inapata maendeelo sababu watu wote hatufikiriiii sawa.
Fikiria watu wote akili zetu na mawazo yetu yangekuwa kama ya zomba tu au ya mtazamaji tu au ya yulee tu au .......

Umenipata nadhani
 
kweli kabisa sasa nimesoma soma nimeona kuwa ndege ikiwa juu injini moja ikipata tatizo inaweza isiwe isssue lakini bawa la ndege likipata hitilafu kubwa basi ndege itashuka au kudondoka .Je ni kusema hizi commericial aircraft balance au centre of gravity yake inategemea zaidi mabawa ?


Sio Central of gravity! Ni kuwa ili ndege iendelee kuwa chini ya sheria ya Aerodynamics inatakiwa kuwa na vigezo kadhaa. bawa likipata shida inakuwa ime violate hiyo sheria na inakuwa under gravity. hizo condition ziko described ktk nadharia hizo mbili: Newtonian na Bernoulli
 
Mkuu,

Swali safi sana. Injini zikizimika hata zote, ndege inaweza kutua kama ilikuwa karibu na uwanja wa ndege. Kuna ile ndege ilizimika injini kwa sababu walipita kwenye Vumbi la Volcano. Wakaliachia likashuka kama SAILPLANE (hizi hazina injini na hurushwa na ndege nyingine na baadaye ile ndege inaachia kamba na Glider linaanza kwenda lenyewe) na walipofika distance fulani, yale majivu yakaachia na walipowasha injini, zikawaka na wakaendelea na safari. Kutoka hapo wamejifunza jinsi ya kufanya tatizo likitokea.

Kumbuka nilikuandikia mwanzo kuwa kinachosababisha ndege KURUKA ni INJINI. Injini ndiyo inakuwa kama kitu kinachosababisha ule UPEPO unaopita juu na chini ya Mabawa na ndege yenyewe (Body) na ndiyo maana body za ndege zina sura ya ki-Aerodynamic pia. Sasa injini zikishasababisha upepo wa kutosha juu ya mabawa na juu ya ndege hapo COANDA EFFECT inaanza kufanya kazi kwa kuinyenyua ndege juu.

Injini hata ikizimika, bado ndege itaendelea mbele maana tayari inakuwa kwenye speed na kumbuka kwa ndege kubwa, zinakwenda juu 10 km maana huko Wind resistance ni ndogo na ndiyo maana wenye ndege huwa hawapendi kutuatua sana maana wakati wanapaa, wanakula sana mafuta. Ila ili ndege ifike huko iendako, lazima injini iendelee kuisukuma ndege mbele na wakati huohuo, ule UPEPO unaoinyenyua juu ndege (Coanda Effect) utaendelea kuwepo. Injini ikisimama, upepo utaanza kupungua na mwisho utaisha na hapo ndege hata kama ina mabawa, itaanguka tu. Ila hii inachukua muda.

Sasa tukija kwenye SWALI lako:
Mabawa huwa yanatengeneza BALANCE kwenye ndege pia. Ndege kubwa zinatunza huko mafuta pia. Ndiyo maana huwa wanakuwa wakali sana kuyasogelea mabawa. Sasa wakati wanakwenda, huwa Computer za ndege zinavuta mafuta sawa kushoto na kulia na hata kutumia uzito wa mafuta kubalance ndege kushoto na kulia ili uzito wa ndege uwe sawa.

Kama bawa moja LIKIKATIKA: Kwanza mafuta yanaanza kumwagika. Pia ndege inakosa BALANCE kwa sababu haya huwa yamewekwa kwa uzito sawa. Ni sawa na Helcopiter ikikatika kile ki FANE kidogo cha nyuma. Huwa inaanza kuzunguka kama TIARA. Hivyo mabawa yana kazi nyingi kwenye ndege. Ndiyo maana B-52 wakati linaanza kuruka, huwa lina matairi mwishoni maana huwa mabawa yameshiba mafuta.
kweli kabisa sasa nimesoma soma nimeona kuwa ndege ikiwa juu injini moja ikipata tatizo inaweza isiwe isssue lakini bawa la ndege likipata hitilafu kubwa basi ndege itashuka au kudondoka .Je ni kusema hizi commericial aircraft balance au centre of gravity yake inategemea zaidi mabawa ?
 
Sasa kwa nini tusifanye research za kisayansi na hawa wachawi wetu na sisi turushe vingege vyetu made in africa.
 
Sasa kwa nini tusifanye research za kisayansi na hawa wachawi wetu na sisi turushe vingege vyetu made in africa.
Huu uzi nilikuwa sijauona bana, kunawakati nilikuwa interested kujua ndege inarukaje basi nikagoogle balaa.
Nimepitia post za wataalamu hapo juu lakini mimi naona kuruka kwa ndege ni proccess.
Proccess kwa maana ya combination ya vitu inavyo ifanya iruke.Trick kubwa ni kwamba katika dunia yetu hii kuna kitu inaitwa gravity force, so ili ndege iruke ni lazima kuwe na trick ya ku by pass hii gravity force.

Sasa hapa kuna swala la kupaa na kuelea na kubadili mwelekeo,
Kupaa: tuchukulie simple logic ukichukua jiwe ulirushe kwa kasi ya nguvu hewani jiwe hilo lita paa lakini baada ya ya ile nguvu ya kasi kupungua litaanza kuanguka chini.
Hivyo katika ndege kitu cha kwanza ili ndege iruke lazima kuwepo na msukumo wa kuifanya ndegeiruke, na hapa utazungumzia injini kama uhai wa kwanza wa ndege, kwamba inji lazima ifanye kazi yake ili proccess zingine ziendelee.


Kuelea: Hapa kwa mfano wa haraka ni kama TIARA, Tiara inamuundo unayo ifanya iweze kujibalance ikiwa hewani na kwa ndege mapawa ni nyenzo muhimu kuiwezesha kuelea hewani kutokana na muundo wake katika ndege.
Hapa mabaya ya nakazi ya kucheza na hewa kwa kufanya balance na kuipa dege mwelekeo wakati ina py pass gravity force.
Mabawa ndio yanayoifanya ndege itofautian na vitu vingine vinavyo paa kama helkopta makombora nk.

Nimetoa mfano wa jiwe lakini jiwe ni wewe unachagua liende direction ipi kwa ndege itakapo anza kusukumwa na injini na kimahesabu ikafikia ile speed inayoruhusu ndege kuruka basi mabawa yata chukua nafasi yake kwa kukata upepo(hewa).kuiwezesha ndege kupaa na kuelea hewani itakavyo huku injini ikendelea kumaintain speed

Kuna kitu kingine muhimu pia ni muundo wa ndege ni lazima uwe wenye kuifanya ndege isipingane na upepo(hewa) mfano huwezi tengeneza ndege yenye uso bapa hapa itapata shida kumaintain speed na swala zima la balancing
 
......................
Kuna kitu kingine muhimu pia ni muundo wa ndege ni lazima uwe wenye kuifanya ndege isipingane na upepo(hewa) mfano huwezi tengeneza ndege yenye uso bapa hapa itapata shida kumaintain speed na swala zima la balancing
umenikumbusha michezo ya utotoni tumetengeza tiara au vishada na kuzipaisha juu. kishada kinakwenda mpaka juu kinaaza kupigana na mwewe. Wakati tunacheza michez hiyo hatukujua tunatumia kanuni physics a aerodynamics . Upepo ukiwa mkali sana kishda kinachanika . Ili kishada kikae juu vizuri bi kuyumba yumba sana lazima ulekeo wa wa upepo vs direction ya kishada viwe katika mfum fulani.
 
Asante kwa maujanja mkuu,hili somo very exited ningesoma hata mpaka kesho yake.thanks again.
 
Back
Top Bottom