win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,126
- 31,058
kwa kweli maana comment za wengine wanasema analazimisha penzi wakati mi sioni shida😅😅Au sisi ndio tuna shida hatuoni shida🤣🤣
kwa kweli maana comment za wengine wanasema analazimisha penzi wakati mi sioni shida😅😅Au sisi ndio tuna shida hatuoni shida🤣🤣
To be honest my dear pale wala hakuna shida kabisa,labda watu walitaka mgonjwa abebishwe weee ndio wangeona hakuna shidakwa kweli maana comment za wengine wanasema analazimisha penzi wakati mi sioni shida😅😅
itakua mleta mada kashazoea kubembelezwa hata kwenye vitu visivyo hitaji kubembelezwaTo be honest my dear pale wala hakuna shida kabisa,labda watu walitaka mgonjwa abebishwe weee ndio wangeona hakuna shida
Hapo ukute anafananisha uhusiano wake wa awali na wa sasa,huenda huko alikotoka alikuwa kama princess now kakutana na mwamba hana mambo mengi sasa inakuwa shidaitakua mleta mada kashazoea kubembelezwa hata kwenye vitu visivyo hitaji kubembelezwa
anataka kudeka na inatakiwa kudekezwa ila jamaa anaonekana kama hajali hivii.. Ujue na sie wanaume tukisha kula kula tunakuwa watu wa ajabu ajabu sanaa unakuta jamaa amekinai ndio anaanza leta hizo pigoMbona convo haina shida kamamaa?
Anhaaa ukisoma hizo msg bila kujua kinachoendelea unaona ni convo ya kawaida, ni kweli ukiweka hizo circumstances ina make sense.anataka kudeka na inatakiwa kudekezwa ila jamaa anaonekana kama hajali hivii.. Ujue na sie wanaume tukisha kula kula tunakuwa watu wa ajabu ajabu sanaa unakuta jamaa amekinai ndio anaanza leta hizo pigo
Hisia sio sawa na upendo. Mwanaume akimfata mwanamke kwa hisia za ngono hayo ndio matokeo.. muhimu sana kumpima mwanaume kama anakupenda kitu ambacho watoto wengi wa siku hizi hata watu wazima hawawezi kuwapitisha wanaume kwenye test kama kuna upendo au hisia + nyege 🫪Anhaaa ukisoma hizo msg bila kujua kinachoendelea unaona ni convo ya kawaida, ni kweli ukiweka hizo circumstances ina make sense.
Lakini kwanini mko hivo 😅??
Asalaleee! Watoto wetu GenZ na GenAlpha tutawaficha wapi yarabi.Hisia sio sawa na upendo. Mwanaume akimfata mwanamke kwa hisia za ngono hayo ndio matokeo.. muhimu sana kumpima mwanaume kama anakupenda kitu ambacho watoto wengi wa siku hizi hata watu wazima hawawezi kuwapitisha wanaume kwenye test kama kuna upendo au hisia + nyege 🫪
Maana siku hizo mambo yanapigwa juu kwa juu matokeo ndio kama hayoo, katoto kawafuta kamefunguka moyo mazima ila jamaa kaisha chovyaaa hisia zimekataaa
Nyie watu wazima muwafundishe ku test hisia na upendo, ili kuwaepusha na michomo na kuwa watumwa wa hisia na maumivu..Asalaleee! Watoto wetu GenZ na GenAlpha tutawaficha wapi yarabi.
You people ni waharibifu. View attachment 3622725
Unamjua yule member ambaye huwa ana comment hayanaga muongozo 😔Nyie watu wazima muwafundishe ku test hisia na upendo, ili kuwaepusha na michomo na kuwa watumwa wa hisia na maumivu..
Ukweli mie sio muharibifuu 🫪🫪
Mie na deal na walio haribikiwa tu naogopa sana kumliza mtu au kumuumiza mtu
yule huwa namuonagaa tu na comment zake fupi fupiUnamjua yule member ambaye huwa ana comment hayanaga muongozo 😔
Yani we acha tu 😅hiki kicheko kina siri kubwa ndani yake
Mungu Hana muda na mambo ya kitoto
Mzani wa mahusiano haujawahi kubalance hata siku moja lazima tu mmoja aonekane yuko chini na anayahitaji mahusiano hayo kwa hali na mali
Yote kwa yote fanya juu chini uwepo upande wa nakupenda piaNi kweli huwa haubalance lakini kuna ule wakati unaona mmoja ndiye aliyeshikilia mahusiano yasivunjike huku upande mwingine akiishi lolote litokee
Ukiangalia screenshot ya kiss ov love utaona upande unaojaribu kufanya mahusiano yaende