Naitwa Titiy.
This is a last/second modified version.
Wakati niko Mdogo, sijaanza kuongea vizuri, kila kitu nilikua nakiita titii, kula titii, mtu titii, n.k.
Basi Brother wangu ambae nae hatujaachana sana alikua akiona watu wako na mimi, ananinyooshea kidole huku akitaja titii.