What is the purpose of cheating????

MJ1 kuna posti yako hapo juu umejitahidi kuelezea sababu za kucheat but hakuna hata moja ambayo ni halali,pili mahusiano halali ni yale mliyokubaliana nyie hata kama hamjaenda kwenye nyumba za ibada!

Sweetheart, hakuna sehemu nimesema kuna sababu HALALI ya kuicheat! nimejaribu kusema sababu mbalimbali za kwa nini mtu anacheat! But NOT HALALI
 
ndg katika mahusiano ujadanganya ujapata ukisema kweli shauri yako

Duh!Wengine hatujazoea kudanganya!Ndo maana nasema kama ndo hivyo bora niwe pekeyangu!
 
MJ1 i got u sweetheart,bu what should we do?
 
RusiunRoulete,thanx i got u!
 
There is no purpose of cheating.if ur partner doesn't sastify u, why dont u leave him or her 4 good? instead of cheating.
 
There is no purpose of cheating.if ur partner doesn't sastify u, why dont u leave him or her 4 good? instead of cheating.

Good idea Yasmin but is not that simple!
 

kwenye red hapo,mkuu Eiyer embu nikuulize,are you serious au unafurahisha baraza?
 
jamani tujibu swali,mchokoza mada kauliza,'what is a purpose of cheating',
jibu ni straight forward...'to have fun',period.
 
Bashaija,inaonekana hawa jamaa ni kibokoee!

wote hao wana Phd ya purukushani za malavidavi,ukitaka kujua uweledi wao kasome uzi wa RussianRoultte ulioleta sekeseke la kaboka mchizi humu mmu kidogo watu walazwe icu kwa presha , nadhani uzi huo unakimbilia kwenye kurasa hamsini na unaendelea.
 

.....hahahaha....for more information refer kwenye thread ya RussiaRoulette on ..nyumba ndogo..(jibu)
 

ndugu yangu Mbu,hivi unamtofautishaje mwanamke anayejiamini na asiyejiamini?
 
wote hao wana Phd ya purukushani za malavidavi,ukitaka kujua uweledi wao kasome uzi wa RussianRoultte ulioleta sekeseke la kaboka mchizi humu mmu kidogo watu walazwe icu kwa presha , nadhani uzi huo unakimbilia kwenye kurasa hamsini na unaendelea.

Kumbee!Huo uzi nimeuona,nilikua nacheka tu,watu wakiwa wakweli humu tutaweza kupata jibu la kwenye huo uzi wa RussianRoultte!
 
Cheating husababishwa na tabia mbili ambazo binadam wote tunazo 'albeit' kwa viwango tofauti kati ya mtu na mtu. Envy na Jelousy. Envy ni ile hali ya kutamani kitu ambacho si chako, hata kama ulicho nacho ni bora kuliko kile kingine, ila envy hufanya wenye nayo kutamani kile kisicho kuwa chao. Envy huwafanya watu wengine wawe wezi, wachawi, n.k.

Jelousy au wivu husababisha watu kuwa overly protective na vitu vyao. Kwa sababu hiyo wengi wanakuwa hawajiamini katika mahusiano yao kwani kila wakati huona kuwa huyu wa kwake anachukuliwa na wengine na tendency ya kuwa overly protective humfanya mtu asijiamini. Kutojiamini ndo kunakosababishwa hizi cheating wengi mnaziita eti za kulipiza kisasi! Wakati mwingine huna ushahidi wa kutosha, ila basi tu.
 
Mzee sababu ni kama hizi
  • Mahusiano mabaya kati ya wapendanao
  • Kulipiziana kisasa hasa wadada (kwa wadada)
  • Kutokuridhishana faragha
  • Tamaa ya Pesa (kwa wadada)
  • Kukomoana (kwa wadada)
  • Tamaa ya vyeo au mchakato wa kupata kazi (Kwa wadada)
  • Mahusiano yaliyosababishwa na msukumo wa ndg au wazazi (hukuna mapenzi ya dhati kati yao)
  • Kuwa na mahusiano kama fashion
  • Kupenda usikopendwa
  • Tabia za baadhi ya watu
  • nk
Mkuu sababu ni nyingi sana na kuweza kuidentify watu wenye misimamo ya dhati ktk mahusiano si jambo jepesi hata kidogo. Unapohitaji kuingia kwenye mahusiano jaribu kujipa muda wa kutosha kustudy tabia za mtu na mwenendo wake, pia maombi kwa Mola ni jambo muhimu kuhakikisha kuwa hauhangukii ktk mikono ya maharamia wa mapenzi!
Pole and take care!
 
Kipima Pembe i apriciate what u've said but udhaifu wa mtu ni tatizo pale unaposababisha madhara kwa mtu mwingine,kama ni hivyo inatakiwa ipatikane dawa ya huo udhaifu ili madhara yasiwepo!
 
HorsePower,sasa unapocheat ndo matatizo hayo uliyoyataja ndo yanaisha au ndo unayaongeza?
 
Bahati mbaya sana envy na jelousy hazitibiki. Watu tunazo sababu tumezirithi kutoka kwa wezazi wetu. Tabia hizi hujitokeza kuwa dominant kutoka mtu hadi mtu, yaani mwingine ana envy (tafsiri sahihi ya kiswahili siijui) zaidi ya wivu. Hata wale wenye envy zaidi, viwango hutofautiana kutoka kwa mtu hadi mtu. Wengine wana wivu zaidi kuliko envy na hali kadhalika kwa viwango tofauti tofauti. Ila kuna levels ambazo zikifikiwa ni hatari. Kazi kwetu ni kujua wenzi wetu wana-score kiasi gani kwenye envy/jelousy? Hakujawa na standards, ila mambo haya huwa yanaonekana mapema tu tunapoanza mahusiano. Bahati mbaya, love/lust inatuzuia kuyaona na hivyo tunajikuta tumeshaingia kwenye mahusiano.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…