What is special about cannabis sehemu ya pili (2)

What is special about cannabis sehemu ya pili (2)

sitetei ila tujalibu kuongea ukweli kuhusu hili. hivi ni kweli watumiaji wa bangi wanapata tabu kupata usingizi au ni myth za watu wachache.
Baadhi ya watumiaji wanachelewa kupata usingizi kama ajatumia hii mambo
 
Kifupi me bangi imeniletea matatizo madogo yafuatayo
Kuwashwa kwa koo na sikio
Kukauka midomo
Ngoz kuwa mbaya
Lakini kiakili hakuna tatizo lingine kwa hiyo sitaacha kuitumia kwa sababu maisha ni zaidi ya ngoz,macho,masikio
Na hapo bado sijawapa faida yake upande wa kiroho,acha niendelee kufurahia naujua ukweli
 
Kaniacha hoi eti bangi inaitwa maryjane nadhan akimaanisha marijuana. Anasema imeandikwa sana kwenye bible ila hajataja kifungu. Ila naona tayar keshavuta sijui kama tutaelewana naye. Akina kayaman wanajaribu kuhalalisha bangi wakat tuna ushahid wa watu wengi wame wehuka kwa sabab ya bangi. Na wengine wamekuwa viongoz wakubwa ila madhara ya bangi yanaonekana bado.


Mkuu Mary Jane ni slang ya kitaa ikimaanisha bangi na imetokana na neno MariJuana
Nari=Mary
Juana=Jane
 
Macho mekundu yanaleta image mbaya ktk jamii,wengjne ni watu na heshima zetu

Kwa ujumla mkuu kwenye jamii yetu Tanzania bangi haina heshima. Watu wakishajua unavuta bangi wanakudharau wanakuchukulia muhuni uliepitiliza hata ukifanya kosa dogo kiasi gani watasema.....bange hizo....wakati mwingine utawaskia si yule mvuta bange
 
Kwa ujumla mkuu kwenye jamii yetu Tanzania bangi haina heshima. Watu wakishajua unavuta bangi wanakudharau wanakuchukulia muhuni uliepitiliza hata ukifanya kosa dogo kiasi gani watasema.....bange hizo....wakati mwingine utawaskia si yule mvuta bange
kabisa mkuu jamii ina prejudices na watumiaji wa mmea,wengine inatusaidia utulivu wa akili.
 
sitetei ila tujalibu kuongea ukweli kuhusu hili. hivi ni kweli watumiaji wa bangi wanapata tabu kupata usingizi au ni myth za watu wachache.
Hakuna kitu kama hicho.adiction ya bangi ni ile ya kulazimisha mwenyewe,ukishajizoesha kuwa huwezi kulala bila kuvuta automatikale saikolojia yako inakupeleka huko.mimi nu mvutaji wa kila siku lakini nkiamua huwa napumzika wiki,au mwezi na sipati withdrawal symptoms yoyote.
 
Bangi haina shida, shida siku hizi wanazivuna kabla hazijakomaa yaani unapuliza hadi stick tatu ndo unaanza kuiskia
kila siku naomba waishiwa wabunge waipigie debe......legalize it
Hilo ni tatizo aisee,nimeona na wakulima wa arusha nao wameanza uhuni huo,nahisi ni sababu ya kuogopa kuchomwa moto mashamba.Sikuizi ganja nzuri inapatikana kwa tabu sana.
 
Bhangi haifai jamani isikieni tu mana ukiwa na ndugu ambaye ameathiriwa na bhangi ndio mtaelewa.
 
76583260678f2cc3e62d31a5a010d3e2.jpg
 
Bangi sio nzuri wajameni. Mleta mada kavuta Bangi ndio akaja kuandika uzi humu, akipingwa kwa hoja anatukana watu afu anajiona bado yupo sawa.

Nimegundua jambo kwenye huu uzi, jambo lenyewe ni kwamba wanaomsapoti mleta mada nao pia ni wavuta Bangi na wengine washavuta tayari.
Itoshe kusema mimi huwa sijadiliani na wavuta bange Hivyo sitaraji kuona mvuta bange akiijibu post yangu.

Jumapili njema
 
Si watu wote wanaweza kuipata uzoefu kufurahisha au kufurahi; kwa wale walio na wasiwasi au kukabiliwa na mashambulizi ya hofu, bangi inaweza kuzidisha dalili zao badala ya kuleta katika hali ya utulivu.Hii ni kweli. sio watu wote wataact same way ndio maana katika uzi uliopita niliweka zile aina za bangi au cannabis kwamfano ulio hai sativa sio nzuri sana kwa watu wenye wasi wasi ila indica ndio nzuri zaidi kwani inakuwa na kiwango kikubwa cha Cannabinol au kwa lugha nyingine CBD.

Kwa hapa kwetu utawezaje kuja aina hizo za bangi
 
Si watu wote wanaweza kuipata uzoefu kufurahisha au kufurahi; kwa wale walio na wasiwasi au kukabiliwa na mashambulizi ya hofu, bangi inaweza kuzidisha dalili zao badala ya kuleta katika hali ya utulivu.Hii ni kweli. sio watu wote wataact same way ndio maana katika uzi uliopita niliweka zile aina za bangi au cannabis kwamfano ulio hai sativa sio nzuri sana kwa watu wenye wasi wasi ila indica ndio nzuri zaidi kwani inakuwa na kiwango kikubwa cha Cannabinol au kwa lugha nyingine CBD.

Kwa hapa kwetu utawezaje kuja aina hizo za bangi
unaweza kujua kwa kutofautisha miti yake maana inatofauti kubwa sana hata kipofu unaweza kumpa maelekezo juu ya tofauti zake na akafanya kama ulivyo muelekeza
 
n
Bangi sio nzuri wajameni. Mleta mada kavuta Bangi ndio akaja kuandika uzi humu, akipingwa kwa hoja anatukana watu afu anajiona bado yupo sawa.

Nimegundua jambo kwenye huu uzi, jambo lenyewe ni kwamba wanaomsapoti mleta mada nao pia ni wavuta Bangi na wengine washavuta tayari.
Itoshe kusema mimi huwa sijadiliani na wavuta bange Hivyo sitaraji kuona mvuta bange akiijibu post yangu.

Jumapili njema
ukitaka evidence inabidi uhangaishe akili pia maana mie sio baba ako kukupa kila kitu usipende shortcut ni mbaya sana utadumaa akili
 
Back
Top Bottom