Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,702
- 5,632
Legalize it,
Kush,hili wese linapatikanaje
Legalize it,
Mkuu nayapataje haya mafuta?View attachment 594796 hiyo ni home preparation niliwatengenezea watu wangu waliokuwa na maumivu ya viungo na wanasema iko vizuri sana kuliko zile pharmaceutical products kwa kifupi ni cannabis oil
Hongera sana mkuu. Sorry nataka nijue kitu kuhusu kuandaa hayo mafuta. Nmefuatilia video za Rick Simpson kuhusu hayo mafuta naona alcohol inatumia sasa nataka nijue hiyo alcohol n aina gan je naweza kutumia hata konyagiView attachment 594796 hiyo ni home preparation niliwatengenezea watu wangu waliokuwa na maumivu ya viungo na wanasema iko vizuri sana kuliko zile pharmaceutical products kwa kifupi ni cannabis oil
kuna alcohol inaitwa grain alcohol 70%v/v kuna wengine wanatumia butane ila njia hizi inabidi uwe makini sana kwani vinalipuka. konyagi sio rafiki sana 35%v/v labda kama uweza pata ile kali zaidi ya konyagi nadhani itakuwa poa sana.Hongera sana mkuu. Sorry nataka nijue kitu kuhusu kuandaa hayo mafuta. Nmefuatilia video za Rick Simpson kuhusu hayo mafuta naona alcohol inatumia sasa nataka nijue hiyo alcohol n aina gan je naweza kutumia hata konyagi
kuna hizo pro unaweza pitia ukasoma namna ya kutengeza ni simple sana.Mkuu nayapataje haya mafuta?
sasa rafiki yangu halima ni chizi yule from birth alafu anaenda kupiga sativa unadhani ataweza kupata nafuu.. hii kitu inataka kichwa safi bhna.Hata halima mdee hii kitu imemuathiri kwa kiwango kikubwa sana.
Asante ndugu. Na upatikanaje wa hiyo grain alcohol ukoje hapa bongokuna alcohol inaitwa grain alcohol 70%v/v kuna wengine wanatumia butane ila njia hizi inabidi uwe makini sana kwani vinalipuka. konyagi sio rafiki sana 35%v/v labda kama uweza pata ile kali zaidi ya konyagi nadhani itakuwa poa sana.
nadhani ukienda kwenye maduka ya pombe kali ipo, sijawahi itumia kufanya extract mie huwa natumia mafuta pekeeAsante ndugu. Na upatikanaje wa hiyo grain alcohol ukoje hapa bongo
Asante ndugunadhani ukienda kwenye maduka ya pombe kali ipo, sijawahi itumia kufanya extract mie huwa natumia mafuta pekee
karibu hivi wewe ni mkemia auAsante ndugu
Hakuna shida mkuu mengine tutatafutana pm,maana nina maswali mengi ya kuuliza.Alafu ushafanya Dabing ?kuna hizo pro unaweza pitia ukasoma namna ya kutengeza ni simple sana.
bado sijafanya dabing ila hivyo nadhani unahitaji mambo mengi ili ikamilikeHakuna shida mkuu mengine tutatafutana pm,maana nina maswali mengi ya kuuliza.Alafu ushafanya Dabing ?
View attachment 594796 hiyo ni home preparation niliwatengenezea watu wangu waliokuwa na maumivu ya viungo na wanasema iko vizuri sana kuliko zile pharmaceutical products kwa kifupi ni cannabis oil
tumia kuna dawa flani hivi ya maji unatia kwnye machoMacho mekundu yanaleta image mbaya ktk jamii,wengjne ni watu na heshima zetu
miti yake ikoje na je ambayo tayar imechambuliwaunaweza kujua kwa kutofautisha miti yake maana inatofauti kubwa sana hata kipofu unaweza kumpa maelekezo juu ya tofauti zake na akafanya kama ulivyo muelekeza
kuna picha nime post time ago inaonesha tofauti za miti yake ila sasa huwezi kujua tofauti ya miti kama ikiwa imechambuliwa hapa kwetu wanapanda miti yote pamoja wakati wa uvunani inavunwa pamoja hapo ndio wana mix zote ila kama unaweza unaweza panda hii mmea alafu unakuwa unatofautisha aina yake ila kuna pia kuna vitu vingine hapa itabidi ujifunje kuja difference ya male & female plants. kwahiyo itakubidi uanze kufatilia tofauti zake kwenye source mbali mbali ktk network.tumia kuna dawa flani hivi ya maji unatia kwnye macho
miti yake ikoje na je ambayo tayar imechambuliwa
kuna pro nimepost hapo mwanzoni zisome alafu anza mazoezi kama ukishindwa au kuna kitu umekwama njoo uniulize.Mkuu nipe maunjanja ya kutengeza hii