What is special about cannabis sehemu ya pili (2)

What is special about cannabis sehemu ya pili (2)

unaweza kujua kwa kutofautisha miti yake maana inatofauti kubwa sana hata kipofu unaweza kumpa maelekezo juu ya tofauti zake na akafanya kama ulivyo muelekeza

Kwa wavutaji wasiokua shamba hii ni ngumu maana miti hawaioni, unaenda kwa pusha unabeba kete unaseoa. Ila itakua njema sana kama atatokea mtu mwenye aina tofauti ya dawa
 
Macho mekundu yanaleta image mbaya ktk jamii,wengjne ni watu na heshima zetu
It’s Coz of the “pressure”. Specifically, THC in marijuana causes the inner-eye pressure to decrease after use. When the pressure drops in your eye, the small blood vessels have room to expand, causing redness in eyes.

That same pressure release is what makes marijuana such an important treatment for glaucoma — which causes increased pressure in your eye and on your retinal nerve. ni tiba hiyo usiogepe
 
Bangi sio nzuri wajameni. Mleta mada kavuta Bangi ndio akaja kuandika uzi humu, akipingwa kwa hoja anatukana watu afu anajiona bado yupo sawa.

Nimegundua jambo kwenye huu uzi, jambo lenyewe ni kwamba wanaomsapoti mleta mada nao pia ni wavuta Bangi na wengine washavuta tayari.
Itoshe kusema mimi huwa sijadiliani na wavuta bange Hivyo sitaraji kuona mvuta bange akiijibu post yangu.

Jumapili njema
sio kweli unajua kuwa kuna watu huwa wanataka kupewa maneno mabaya tu wenye. ndio maana niliamuambia aliesema vile kuwa kanilazimisha kusema hilo neno ila kama unataka kujua zaidi kuhusu mambo haya inabidi ujenge mazoea ya kusoma kila kitu unachosikia ndio utajua ukweli wa mambo usipende kuamini maneno ya kuambiwa ni mabaya sana.
 
Kaniacha hoi eti bangi inaitwa maryjane nadhan akimaanisha marijuana. Anasema imeandikwa sana kwenye bible ila hajataja kifungu. Ila naona tayar keshavuta sijui kama tutaelewana naye. Akina kayaman wanajaribu kuhalalisha bangi wakat tuna ushahid wa watu wengi wame wehuka kwa sabab ya bangi. Na wengine wamekuwa viongoz wakubwa ila madhara ya bangi yanaonekana bado.
Marry jane ni miongoni mwa nicknames za bangi,So sad umeachwa hoi kwa kitu ambacho hujui.
 
Kwa wavutaji wasiokua shamba hii ni ngumu maana miti hawaioni, unaenda kwa pusha unabeba kete unaseoa. Ila itakua njema sana kama atatokea mtu mwenye aina tofauti ya dawa
ni kweli inakuwa ngumu mtu wa kawaida kutofautisha mmea na mmea gani ni mzuri kwa muda gani, ila kama ingekuwa halili hapa kwetu nadhani watu wangejua tofauti zake maana kwa wenzetu huku ukienda cannabis dispensary unachangua aina gani ya mmea unataka kutumia na zina kuwa zime specify kiwango cha compounds kwa asilimia.
 
Nawaona wakuu wa kijiti mnapeana nondo fungueni jukwaa malaamu ya Mary jane watu wapate wasichokijua
Wazo zuri mkuu.elixer of life fanya mpango uanzishe Mary jane spesho thread,ila upunguze kutema yai,wengine lugha ya malkia inawapiga chenga
 
Bhangi haifai jamani isikieni tu mana ukiwa na ndugu ambaye ameathiriwa na bhangi ndio mtaelewa.
Tatizo sio bangi tatizo ni kichwa cha huyo ndugu yako,ingalikuwa ganja inaleta uchizi basi machizi wangefurika mtaani sababu wavutaji ni wengi sana
 
Tatizo sio bangi tatizo ni kichwa cha huyo ndugu yako,ingalikuwa ganja inaleta uchizi basi machizi wangefurika mtaani sababu wavutaji ni wengi sana
tatizo kitu watu hawajui kwamba bangi inatenda kila mtu kwa njia tofauti tofauti, kuna jamaa moja alikuwa akisha kula dry yake anakunywa na maji anakuambia hapo kashiba wakati mwingine akipiga kitu anataka kula.
 
Sion neno jipya uliloongea. Umesubiri mtu atoe maana nawe umekuja kurudia. Mbona kuna jamaa mmoja alishaongea hapo juu?nawe kwa kutaka kuonesha nawe unajua jua? We maryjane vipi?watu tushaachana na hiyo topic mama

Marry jane ni miongoni mwa nicknames za bangi,So sad umeachwa hoi kwa kitu ambacho hujui.
 
IMG-20170907-WA0002.jpg
hiyo ni home preparation niliwatengenezea watu wangu waliokuwa na maumivu ya viungo na wanasema iko vizuri sana kuliko zile pharmaceutical products kwa kifupi ni cannabis oil
 
Sion neno jipya uliloongea. Umesubiri mtu atoe maana nawe umekuja kurudia. Mbona kuna jamaa mmoja alishaongea hapo juu?nawe kwa kutaka kuonesha nawe unajua jua? We maryjane vipi?watu tushaachana na hiyo topic mama
Relax mkuu,huu uzi nmeufungua leo na hiyo msg yako ilikuwa ya mwanzoni so nmekujibu kabla hata yakufungua page ya pili,na hii ni open forum kama hutaki kukosolewa usiandike chochote. Hata kama watu mia walikuwa wameshakujibu hainizuii mimi nisitoe mchangu wangu. Na siku nyingine usikurupuke na kuachwa hoi kwa kitu usichokijua.
 
Back
Top Bottom