[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]yawawili nisitiri,watatu hana dili!
mwengine usimfikiri,mi ndo wako wakili
hebu tulia tunong'onezane kimahaba kwangu hakuna presha mahabuba,wala sita kutia janaba sitaki kuona wako msiba!
andungule usimsitue mzigo wake ajitue!
jaribu kuona mbali uone mstari,ni mnyoofu na hodari haipimwi kwa kamba wala shomari
Uzi haujafika mbali ashapatikana mtu pole sanaTatizo lako kubwa unaonekana unataka ukiweka mada hapa basi kila mtu akubaliane nawe na asikupinge,ndio maana unajiaminisha kua mtu akikupinga au hata kutumia lugha ya kuudhi eti anakua amekuja na ID nyingine! sidhani kama una ushahidi na hilo bali umeamua tu kujiaminisha ili kujifariji,huwezi kukubalika na kila member na kwa kila mada tambua hilo kwanza,
Halafu inaonekana kuna sehemu umepewa ukweli na dawa imekuingia kisawa sawa ndio maana umeamua kuja na kuanzisha hii thd kama utetezi wako,kujisafisha na kutafuta huruma za watu "sympathy" huwezi kukubalika kwa kila thd na kila member tambua hilo!
Halafu mtu akipingana na wewe siku zote hua nakuona unakimbilia kuleta screen shot ya page ya huyo member anayepingana nawe na hua unamdhihaki kua eti ni member mgeni na kajiunga jf hivi karibuni tu! ni nani aliyekuaminisha kua akili ya mtu hua inapimwa kwa kuangaliwa ni lini kajiunga na jf? vipi kuhusu wale ambao sio member wa jf kabisa?
Hajakujibu kwa kuwa amekudharau maana watu wa aina yako ndio mwamtukana na kumkashifu kila SikuKwahiyo wewe hicho ulichokiandika hapo juu mwenyewe ndio unajiona kinakufanya kua u are among the great thinker?!
Nilidhani ungejibu kwa hoja badala yake umejibu kwa ushabiki tu usio kua na maana yeyote,ungekua great thinker ungeweka maelezo yako ki great thinker na sio hizo kejeli za kitoto ambazo zinakuweka wazi kua aidha unajikomba kwa mleta mada au umeshikiwa akili na mleta mada,au unaendekeza yale mambo ya u-team,
Hiyo comment yangu nilimlenga mleta mada nae ameshindwa kutoa maelezo yeyote bali amebaki tu kulike msg yako coz anaona ni kama inamlinda na kumtetea!!
Who are u to judge the life I live?! before you start pointing fingers....make sure your hands are clean..!!
Hana cha kujibu coz nimemuelezea vile alivyo,naona na wewe ni katika wale wanaoshobokea u-team,subiri aje a like hiyo comment yako kwa kumkingia kifua But great thinker siku zote hujibu aliloulizwa na huliwekea ufafanuzi ili aeleweke.Hajakujibu kwa kuwa amekudharau maana watu wa aina yako ndio mwamtukana na kumkashifu kila Siku
Acha kua na mawazo mgando changamsha hilo bichwa,ina maana kwako wewe tafsiri ya kua great thinker ni mtu anayekubaliana na kila analoliandika huyo mleta mada? ukimpinga au ukimuuliza jambo unakua sio great thinker? hicho ndio kipimo cha u great thinker ulicho aminishwa na mleta mada?Uzi haujafika mbali ashapatikana mtu pole sana
OkIts not only me but JF members as a whole.....
Sibishani na wewe tema povu uwezavyo au ikiwezekana utukane kabisa ili uutue mzigo wa SUMU ulioubebaHana cha kujibu coz nimemuelezea vile alivyo,naona na wewe ni katika wale wanaoshobokea u-team,subiri aje a like hiyo comment yako kwa kumkingia kifua But great thinker siku zote hujibu aliloulizwa na huliwekea ufafanuzi ili aeleweke.
Siwezi kubishana na weweAcha kua na mawazo mgando changamsha hilo bichwa,ina maana kwako wewe tafsiri ya kua great thinker ni mtu anayekubaliana na kila analoliandika huyo mleta mada? ukimpinga au ukimuuliza jambo unakua sio great thinker? hicho ndio kipimo cha u great thinker ulicho aminishwa na mleta mada?
Huwezi kulazimisha kila mtu akubaliane na kila jambo unalolileta hapa jf,JF ni open forums,acha kua na akili za kushikiwa,tumia akili zako kupambanua mambo na kutafakari na usiwe mtu wa kuburuzwa na akili za mtu mwingine.
Povu ulianza kulitema wewe kwa kujitwisha mzigo wa kujifanya kua wewe ni msemaji wa mleta thd ila umesoma alama za nyakati ukajiona jinsi ulivyokua hujielewi,so fuata kama nilivyokushauri, kua na maamuzi yako na usiwe na akili za kushikiwa na mtu mwingine.Sibishani na wewe tema povu uwezavyo au ikiwezekana utukane kabisa ili uutue mzigo wa SUMU ulioubeba
Kumbe tulikua tunabishana!! nadhani comment zangu zimekuingia kunako medulla oblongata,huyo mleta mada anataka kila mtu akubaliane nae kwa kila anachokileta humu kwa kisingizio kua huo ndio u great thinker!! hahahaaaa!Siwezi kubishana na wewe
Nimekusoma brooo [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Popoma follow the rude rule... Observe dead silence!