Ndio hivyo mkuuMkuu umeelezea vema sana sasa sina maswali kwa wachangiaji.
Hawa wakiamua uondoke utaondoka hata kama utaweka watu wako wa karibu kila Idara.
IGP anaweza akawa china ya OCS
CDF akawa chini ya WO-II
Magereza hata akawa chini ya mfungwa.
Anyway this is "DEEP STATE" wanaweza wakawa wazawa au hata nchi nyingine dhidi ya nchi nyingine kama ilivyokuwa kwa RUSSIA ila walistukiwa mapema wakapindua meza enzi za Gorbachev
yeah who knowsHata JF ni sehemu ya "deep state" ya Tanzania.
Wanakufa pia ila nani ajuayeHao deep state wao hawapatwi na mastroke
Wasakatonge ndio naianzamimi nimesoma kile ngoswe penzi, kitovu cha uzembe hapo niko sawa??
Sure mkuu hii kitu "deep state" ni pevu sana na inahusisha watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii.Kuna video moja niliangalia YouTube,Kuna former US Government official kwenye serikali ya Bill Clinton (I think alikuwa one of the advisers wa Bill Clinton).Anasema kuna siku kipindi hicho rais Clinton alikuwa anataka ku sign executive order kuruhusu CIA and Pentagon watoe classified files kuhusu UFO and Alien existence ili Clinton aeweze kuwa full briefed kuhusu classified UFO files.Sasa kuna Afisa mmoja wa wa juu wa pentagon alimtembea nyumbani kwake akawa anamwambia akamshauri rais Clinton aachane na mpango wake kwani anasikitika watashindwa kumlinda na ataishia kama JF Kennedy,yaani kupigwa risasi/kuuawa.Anasema alikuwa anaskia tu kuhushu deep state lakini siku hiyo ndio aliamini kuna watu wana run America above president.
Yaani Deep State wanaamini president wa US ni temporary Employee,hivyo hatakiwi kujua kila kitu wala hatakiwi kuambiwa kila kitu.Kuna some top secret national security plans and infos presedent hatakiwi kuambiwa wala kujua na siku akijua wanam neutrolize chap.Jamaa anakwambia alienda kumwambia Clinton kwamba aachane na mpango wake.Ndio hadi leo unaskia mambo ya UFO yanabaki kuwa speculations tu ila kuna watu wachache huko Pentagon na CIA wanajua issue nzima..."DEEP STATE EXIST" wala sio conspiracy.
Duuh!“Deep State” nchini Tanzania
“Deep State” kwa tafsiri isiyo rasmi ni “Waundaji na Waendeleza Taifa”. Tanzania neno “System” (Mfumo) huwa linatumiwa sana kumaanisha deep state lakini kiuhalisia deep state sio system. System ni mojawapo ya zao dogo tu la deep state na inaweza kusambaratishwa wakati wowote.
Deep State ni kundi lisilo rasmi la kiintelijensia ambalo hujumuisha makundi mbalimbali. Hujumuisha baadhi ya watu waliopo katika utumishi na wastaafu na hata marehemu (maandishi yao) katika intelijensia ya jeshi, usalama wa taifa na hawa huja pamoja si kwa kuambiwa au kuelekezwa bali kwa yale ambayo wao wanayaamini kimapokeo kuwa ni misingi ya uhai wa taifa. Watu hawa huamua nani awe mgombea Urais kwa mfano, nani awe Makamu wake, nani awe Waziri Mkuu, nani awe tajiri mkubwa (kwa nchi nyingi za Afrika kwa mfano matajiri wengi wamefanikiwa kwa kupitia kazi za miradi ya umma) kadhalika. Maamuzi haya hayafanywi usiku mmoja, wakati mwingine huchukua miaka wakitumia njia zote zinazowezekana kuhakikisha nani anafikia nafasi ya juu kabisa ya uongozi wa nchi au sehemu fulani nyeti na nani hafiki.
Wakiamua wewe hutakaa uwe Rais wa nchi kwa mfano, huwezi kuwa. Huwa hawana upendeleo, wana roho ngumu, maamuzi magumu, hakuna anayemzidi mwingine kwa uzito na umuhimu wa maoni na hutazama mustakabali wa nchi kwa miaka mingi mbele, tofauti na wanasiasa ambao wao hutaka tu kushinda chaguzi. Ifahamike kuwa inawezekana hata Rais aliye madarakani asifahamu kwa hakika watu hao wote kwa ujumla wao. Hii hutokea hasa katika nchi zinazofanya chaguzi kila baada ya miaka michache. Waasisi wengi wa mataifa huwa ni sehemu ya deep state mfano Mwalimu Nyerere ambaye maandiko yake ndicho chanzo cha Waziri Kiongozi wa zamani wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad kufungwa gerezani na hadi leo kuendelea kuota ndoto za kuwa Rais wa Zanzibar ambazo huenda anakwenda nazo kaburini. Deep state huwa ni kama jini, wakati mwingine unaweza kusema halipo ni maneno tu.
Deep state huweza kutikisa nchi kwa kuuhujumu uongozi ulio madarakani kama ikidhihirika walikosea katika kumpitisha kiongozi husika au wakipoteza nguzo inayowalinda ambayo ni uhai wa taifa. Nchini Tanzania kundi la “deep state” halizidi watu 50 katika wakati wowote.
Mbona unashangaa mkuuDuuh!
Visivyojulikana ni vingi sana,namimi nimewahi kufikiria hayo yanayosemwa,kua nchi hii,na baadhi,kuna watu wana maamuzi zaidi ya Rais.Mbona unashangaa mkuu
Sawa mkuuVisivyojulikana ni vingi sana,namimi nimewahi kufikiria hayo yanayosemwa,kua nchi hii,na baadhi,kuna watu wana maamuzi zaidi ya Rais.
Dharau na buguruni mnyamani kwa niniKwenye serious issues tusilete utani wa Buguruni mnyamani. Sisi Ni watu wazima.
'Deep State' ndio imewakata Marehem Maalim Seif na Edo lowasa nini ?Muulize Raila Odinga Kenya pale anajua vizuri maana ya DEEP STATE wamemnyima uraisi mara tatu mfululizo.......
walishasema RAO hawezi kuwa raisi wa Kenya
Ndio itapanga nani awe baadavya Jiwe kumaliza mda wake'Deep State' ndio imewakata Marehem Maalim Seif na Edo lowasa nini ?
this is not their work. atakae kuja sasa after mr.pres ndio atakuwa chaguo laoDeep state has done it againView attachment 1728504
mbona wapo muda mrefu sana. na ubaya ni kwamba watanzania wengi hawwafaham hawa watu. ila wapo.. japokuwa mmoja wao aliondoka juzi juzi. wamebaki wachacheVisivyojulikana ni vingi sana,namimi nimewahi kufikiria hayo yanayosemwa,kua nchi hii,na baadhi,kuna watu wana maamuzi zaidi ya Rais.
Ukiingalia Series ya Salvation... Inaeleza haya kwa upande wa siasa... Yaani kuna nguvu pembeni yenyewe ndio inaamua nani awe kiongozi kwa namna wajuavyo... Binafsi naamini kwamba hakunaga kitabu ama movies inatengenezwa nje ya mfano halisi wa maisha halisia...Kuna video moja niliangalia YouTube,Kuna former US Government official kwenye serikali ya Bill Clinton (I think alikuwa one of the advisers wa Bill Clinton).Anasema kuna siku kipindi hicho rais Clinton alikuwa anataka ku sign executive order kuruhusu CIA and Pentagon watoe classified files kuhusu UFO and Alien existence ili Clinton aeweze kuwa full briefed kuhusu classified UFO files.Sasa kuna Afisa mmoja wa wa juu wa pentagon alimtembea nyumbani kwake akawa anamwambia akamshauri rais Clinton aachane na mpango wake kwani anasikitika watashindwa kumlinda na ataishia kama JF Kennedy,yaani kupigwa risasi/kuuawa.Anasema alikuwa anaskia tu kuhushu deep state lakini siku hiyo ndio aliamini kuna watu wana run America above president.
Yaani Deep State wanaamini president wa US ni temporary Employee,hivyo hatakiwi kujua kila kitu wala hatakiwi kuambiwa kila kitu.Kuna some top secret national security plans and infos presedent hatakiwi kuambiwa wala kujua na siku akijua wanam neutrolize chap.Jamaa anakwambia alienda kumwambia Clinton kwamba aachane na mpango wake.Ndio hadi leo unaskia mambo ya UFO yanabaki kuwa speculations tu ila kuna watu wachache huko Pentagon na CIA wanajua issue nzima..."DEEP STATE EXIST" wala sio conspiracy.
Kabisa mkuu...pia nitaitafuta hii series niicheki,Napenda sana story za aina hiyo...Ukiingalia Series ya Salvation... Inaeleza haya kwa upande wa siasa... Yaani kuna nguvu pembeni yenyewe ndio inaamua nani awe kiongozi kwa namna wajuavyo... Binafsi naamini kwamba hakunaga kitabu ama movies inatengenezwa nje ya mfano halisi wa maisha halisia...
Ili uweze kutengeneza wazo jipya... Basi lazima kuwepo na wazo halisia lililopata kuwepo