EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
An alleged secret network of especially nonelected government officials and sometimes private entities (as in the financial services and defense industries) operating extralegally to influence and enact government policy.
The power of the deep state comes from experience, knowledge, relationships, insight, craft, special skills, traditions, and shared values. Together, these purported attributes make nameless bureaucrats into a supergovernment that is accountable to no one. That is a scary prospect.






mwenye uelewa mpana kuhusu hawa jamaa atujuze nasikia nchi kama US ndio wanaongoza behind the elected Prezidaa ndio maana anaweza kuahidi chochote halafu asitekeleze au wakamuondoa kama wanaona anazuia maslahi yao au anapindisha DIRA ya Taifa.
Nasikia pia ndio wanapanga
nani aongoze nchi
nani awe makamu
nani awe PM
Ukikiuka miiko yao wanakufitinisha na wananchi ili wapate sababu ya kukuondoa kidemokrasia ikishindikina ndio wanatumia "other means".
NB:Kila nchi ina hii kitu including Tz huwa wanalinda maslahi ya nchi (kwa nchi zilizoendelea) au maslahi binafsi kwa nchi zinazoendelea, sio lazima wawe raia wa nchi husika wanaweza kuwa hata raia wa nchi nyingine wanasimika kiongozi wanaohisi ana maslahi kwao. Wanamkontroo kwa rimoti akiwazingua wanamchenjia.
Hapa kwetu wapo??
The power of the deep state comes from experience, knowledge, relationships, insight, craft, special skills, traditions, and shared values. Together, these purported attributes make nameless bureaucrats into a supergovernment that is accountable to no one. That is a scary prospect.






mwenye uelewa mpana kuhusu hawa jamaa atujuze nasikia nchi kama US ndio wanaongoza behind the elected Prezidaa ndio maana anaweza kuahidi chochote halafu asitekeleze au wakamuondoa kama wanaona anazuia maslahi yao au anapindisha DIRA ya Taifa.Nasikia pia ndio wanapanga
nani aongoze nchi
nani awe makamu
nani awe PM
Ukikiuka miiko yao wanakufitinisha na wananchi ili wapate sababu ya kukuondoa kidemokrasia ikishindikina ndio wanatumia "other means".
NB:Kila nchi ina hii kitu including Tz huwa wanalinda maslahi ya nchi (kwa nchi zilizoendelea) au maslahi binafsi kwa nchi zinazoendelea, sio lazima wawe raia wa nchi husika wanaweza kuwa hata raia wa nchi nyingine wanasimika kiongozi wanaohisi ana maslahi kwao. Wanamkontroo kwa rimoti akiwazingua wanamchenjia.
Hapa kwetu wapo??

