MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 849
Mkuu, watu walimchagua Kikwete kwa sababu alikuwa ni mgombea wa CCM na hivyo hivyo ingekuwa kwa mgombea yeyote wa CCM. Suala la Kikwete kushinda kwa kishindo hilo ni jingine na halimaanishi kwamba angeshindwa kama hangekuwa na mvuto!!!
Wakuu zangu najaribu kutazama possibilities hapa kwa akili ya kufikirika!..
Mathlan Dr.Slaa akipata mgombea mwenza na mgomea Urais wa Zanzibar kuwa Salim A. Salim (ambaye aoondoke CCM) itakuwa vipi?
Nimefikiria hili kwa sababu siwezi kuficha - I still have faith in this guy kwamba ni mwana Mapinduzi na anaweza kuondoka CCM kujiunga na ukombozi huu kwa sababu he has nothing to loose!
.............................mimi ningefurahi zaidi kuona Dr. Slaa anaunganisha nguvu na Maalim Seif. Ndugu yetu Prof. Lipumba akae pembeni. Kura zote za CUF kwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ziunganishwe na kura za CHADEMA nadhani moto wake utakuwa sio mdogo..............
Wakuu zangu najaribu kutazama possibilities hapa kwa akili ya kufikirika!..
Mathlan Dr.Slaa akipata mgombea mwenza na mgomea Urais wa Zanzibar kuwa Salim A. Salim (ambaye aoondoke CCM) itakuwa vipi?
Nimefikiria hili kwa sababu siwezi kuficha - I still have faith in this guy kwamba ni mwana Mapinduzi na anaweza kuondoka CCM kujiunga na ukombozi huu kwa sababu he has nothing to loose!
Wakuu zangu najaribu kutazama possibilities hapa kwa akili ya kufikirika!..
Mathlan Dr.Slaa akipata mgombea mwenza na mgomea Urais wa Zanzibar kuwa Salim A. Salim (ambaye aoondoke CCM) itakuwa vipi?
Nimefikiria hili kwa sababu siwezi kuficha - I still have faith in this guy kwamba ni mwana Mapinduzi na anaweza kuondoka CCM kujiunga na ukombozi huu kwa sababu he has nothing to loose!
Hili wazo hata mimi limenijia aisee.. Japo lina vizuizi vikubwa vitatu:
a. SAS itambidi awe tayari kulipa gharama ya kusupport upinzani dhidi ya "chama chake". Tatizo hli litavunjwa endapo baadhi ya wakongwe wengine kama Warioba, Butiku, Sozigwa na wengine wataamua kumuunga mkono.
b. Mchezo mchafu wa 2005 utarudiwa dhidi yake; hili litaweza kushughulikiwa endapo na yeye hatokubali kuwa victim tena.
c. Nafasi yake kimataifa itadhurika vipi. SAS ni sura ya Tanzania kwa muda mrefu katika medani za kimataifa; kwa kusupport upinzani itakuwa ni kama Al Baradei aliyekuwa IAEA na wa Misri. Inahitaji ushujaa sana kwenda kinyume na serikali ambayo unaweza kuicredit kuwa ndiyo imekufikisha ulipo.
Akiweza kuovercome hayo matatu.. na matokeo yake Dr.Slaa/Salim tiketi itashinda vizuri tu.. ila kwa hakika itaipa CUF Zanzibar.
Wakuu zangu najaribu kutazama possibilities hapa kwa akili ya kufikirika!..
Mathlan Dr.Slaa akipata mgombea mwenza na mgomea Urais wa Zanzibar kuwa Salim A. Salim (ambaye aoondoke CCM) itakuwa vipi?
Nimefikiria hili kwa sababu siwezi kuficha - I still have faith in this guy kwamba ni mwana Mapinduzi na anaweza kuondoka CCM kujiunga na ukombozi huu kwa sababu he has nothing to loose!
Kiranga,
Mkuu unaposema toe to toe una maana gani? ebu nipe jina la mtu yeyote Tanzania ambaye mimi siwezi kwenda toe to toe na wewe!..mkuu hakuna binadamu asiyekuwa na mapungufu lakini pamoja na yote haya Salim - stand on his own.. Hakuna mwakilishi wetu hata mmoja aliyeweza kupata Umaarufu duniani zaidi yake akiwa waziri wa mambo ya nje, UN na hata OUA toka tumepata Uhuru. Pima kwa nafasi moja moja au zote kwa ujumla wake hata Nyerere mwenyewe alihofia uwezo wa Salim.
Ukisema chuki binafsi hizo zinakubalika popote!
Chuki binafsi nazo huwa na matatizo yake! It seems Dr. Salim stepped on your toe at one point or another. Lakini tukichukulia historia yake kama kiongozi wa kitaifa na kimataifa aliyoianza tangu ana umri wa miaka 22, nani anayeweza kumshinda Salim kwa uwezo na uzoefu wa kuongoza?
SAS amefanya nini hasa cha kumtofautisha na hawa viongozi wetu run of the mill ? Angekuwa mjanja angeshindwa karata na huyu buffoon Kikwete ?