Habari za asbh DR.mimi ni Mrs,ni mwaka wa nne sina mtoto na tumejaribu kwenda hsp mbalilmbali na majibu tuliyopewa ni kwamba: mimi nipo sawa kabisa ila mwenzangu no Spermatozoa seen ila checkup zengine yupo sawa,Dr Tunaweza kupata watoto? Tusaidie tafadhali.........Aksante sana