What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

WiVU SINA NNDUGU YANGU NA SIWEZI KUWA NA WIVU NA HUYU KIMADA AFTER ROLL MIMI NI MKUU WAKE WA KAZI NINA HESHIMA KUBWA NDANI YA CHAMA NA NDANI YA BUNGE AKIKUTANA NAMI LAZIMA ANISALIMIE SHIKAMOO KABLA SIJAANZA KAZI ZA SIKU


KAMA NI KUCHAKACHUA SISI NDIO WACHAKACHUAJI WA KWANZA KABISA WA HII VITA SASA BAADA YA YOTE HAYA WIVU WA NINI MIMI NASEMA UKWELI KUMSAIDIA MWANANGU ASIKOSE UGALI,NA UCHUNGU NA KAZI NILIYOMFUNDISHA MAMBO YAMEBADILIKA ACHANA NA HIZO CHUNUSI HAZINA NOMA WEWE KOMAA NA KAZI BINTI
 
Huyu jamaa no fisadi mkubwa au katumwa na James Mbatia kuja kuleta upuuzi humu, watu tuko makini na hoja zako hazina msingi. kama wewe ni KE basi utakuwa utakuwa na wivu na huyu dada sisi tunajua anafanya kazi gani huyu ni mwanasheria na yuko bizy na maswala ya katiba mpya.

Usifikiri CDM ni kama wewe na CCM yako kazi kuropoka tu. mbona hamjadili wabunge wenu ambao kwa muda wa miaka mitano hawakuchangia?

Acheni unafiki humu si kwa wanafiki bali kwa watu wa kweli wanaopenda nchi yao.
 
This looks like a personal issue to me...I did not see any evidence to support your claims.After all it's only 2 months after elections.Too early to judge..Invalid accusations indeed taking the length of time she's been in office and does make the logic behind this too questionable and fishy!
 

Toa UTUMBO HAPA WATU TUNAZUNGUMZIA MASLAHI YA KAWE WEWE UNALETA NDOVU LAGER ZAKO HAPA GO TO HELL;;;
 

WE MlEVI TUU HUNA KIPYA
 
Instead of talking issues we are busy discussing upupu......, No wonder Dowans et al Wanatuibia.

Mr Son of a Gun hizi nguvu za kumchambua huyu dada ambaye alidiriki kuachia viti maalumu na kuingia jimboni ungezitumia kuwachunguza owners wa Dowans labda sasa tungekuwa tuna 185 billions kwenye hazina zinangoja kujenga shule....... People we are Fighting the Same Battle kukuomboana Watanzania, Its about time tuache Childish Stuff..... Kama Jokes na Kuliwazana Kuna majukwaa ya Jokes....
 

KWELI MKUU ILA INAUMA SANA KUONA MTU MMEMLEA MMEMPIGIA KAMPENI MMEMCHAGUA eTI LEO ANAZUA BALAA NA SONGOMBINMGO CLUB DAILY HII SIO SAWA ,SASA SI AWE DADA POA TUUU TUJUE MOJA AU??????
 

Tueleze Kikwete amefanya nini kwanza toka ameingia ikulu tena then ndio uanze pumba zako. Retard!!:shut-mouth:
 

Ni ya kweli kabisa.
 
crap
 
Mi siungi mkono kauli yako, kwa upande wangu nimemuona mara kazaa, akiwa kwenye vikao vya maendeleo ya jamiii akiwa na madiwani na wabunge wenzake kama mbunge wa kinondoni, vile vile nilimuona akiwa na Mama Anna Tibaijuka wakati wa Issue ya viwanja( ktk media coverage). Hii inaonyesha yuko Participatory na issues.

my 2 cts.
 
jus lyk h tjhe name "charityboy".....wanaomuweka mjini wanam-monitor ni jinsi gani anasupport undundu wa majambazi wa shit-shit-em..!!wise jf members dnt pay attention to him ili tumuonyeshe tofauti yetu na yeye asiyeweza jiuliza kwanini au faida yake ni nini kuisupport ccm na vibaraka wake...!!charityboy GO TO HELL...!!
 
Kuna watu huwa wanashindwa kutofautisha ndoto na kitu cha kweli..
 
TEHE KAZI KWELI KWELI HUYU bINTI KUIMBE ANATAFUTA BOY??TAFADHALI HALIMA NI PM MIMI NITAKULAMBA HIZO CHUNUSI MAPENZI WORY NAT
 

Lakini ingeuwa Zitto, the situation would have been quaestionable and fishy!

I dont support accusations against Halima, but it is high time now people be real, do not judge them leader out of evidence.
 

Jamani mbona mnaacha kuangalia mambo ya maendeleo mnaanza kujadili mambo ya mtu ambaye ameonyesha njia. Zungumzeni mambo ya ukandamizaji na ufisadi unaofanywa na watawala wetu. Sasa hivi tunahitaji maendeleo nautawala bora bila ufisadi.
 

Hii inaonyesha jinsi Watanzania tulivyo bado nyuma miaka kama 500 na hii inaonyesha itakavyotuchukua miaka mingine 500 kuwa sawa na wenzetu waliostaarabika. Kama wewe unaona tatizo kwa mdee na huoni kwa watawala basi nakupa pole sana ndugu yangu.
 

Poleni sana kwa kuendelea kutumika. sasa hivi hamujui mtendalo mtagundua baadaye. Mola akusamehe ndugu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…